Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida wachezaji wa mbele hawapati mipira inawalazimu washuke chini wachukue mipiraHata huyo waziri haonekani?
Ndio kufanyaje huko we influencer Dotto Magari😀😀😀Ibra Bacca amescrotch balaa
Mawinga wanafanya kazi gani?Shida wachezaji wa mbele hawapati mipira inawalazimu washuke chini wachukue mipira
🤣🤣Mabeki wana kazi kubwa sana..... kwenye timu yetu ya taifa
Yani wakina mzize wanapokea mpira kama wasenge
Kila beki atapata kadi ya njano
Unaweza kumpiga makofi yani Taifa stars haina muunganiko kabisa kama vile wanaogopanaWaziri Junior no experience
Wengi hawajui nafasi zao.Novatus hiyo nafasi aliyopewa imempwaya
Ni kama wamerogwa vile 🤣Wakiwa kwenye klabu zao wanaonekana dhahabu, wakiitwa timu ya taifa hakuna kitu
Shida mamii sio washambuliaji wetu tatizo hatuna kiungo wa kuwaunganisha kwa kutoa huduma ya pasi na ndio maana washambuliaji wanaonekana useless mipira haifiki mbele mabeki wetu wa pembeni wapandishi teamMabeki wana kazi kubwa sana..... kwenye timu yetu ya taifa
Yani wakina mzize wanapokea mpira kama wasenge
Kila beki atapata kadi ya njano
Kuslide!! 🤣🤣🤣Ndio kufanyaje huko we influencer Dotto Magari😀😀😀