Tembosa
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 4,487
- 3,978
Laiti ungaliona.Wanafanya mashambulizi?
Hakuna shambulizi lolote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Laiti ungaliona.Wanafanya mashambulizi?
Nao ni wale wale hakuna kituTuwaombee guinea washinde Kwa kishindo kikubwa kabisa
Dismas vipiKati ndio tatizo
Bado, Tumekosa goli.Lwa maelezo ninayopata hapa sasa hivi tunatunguliwa
Acha Roho Mbaya wewe jamaa. 😀😀😀 Wakishinda "utasikia Tunamshukuru Mama kwa ushindi kwani bila yeye tusingekuwa kushinda"Nakazia kila la kheri Guinea
Anacheza Kama Beki 🤣🤣Mzize vipi hajagusa mpira?
Mliokuwa goli ni nyie au sisi Guinea? Tumewashikisha Ukuta nyie watoto wa Mama Kizimkazi. Tunawapelekea moto, kipa wetu yupo likizo.Bado, Tumekosa goli.
Umekosekana Muunganiko
🥺🥺Anacheza Kama Beki 🤣🤣