Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jana nmeona Lesotho haikua na ujinga huu wao wakipata hatakama mpinzani nimzuri vipi wanapeleka mbele .Back passes ishakua janga la Taifa Stars
Kama stars tu...Hawa Guinea nao wakawaida Sana.
Ulitaka wacheze kama man city?Hawa Guinea nao wakawaida Sana.
Uto...huwaambii kitu kwa huyo kijana..Huyu Ndio mzize WA 1.4bilioni? Mnaumwa nyie
Kwakweli this perfomance is poorBila uzalendo ni ngumu sana kuitazama Taifa Stars! 😴
Yeah uzoefu unatuangushaNaona Uzoefu
Tutawakumbuka Msuva na SamataWamekutana chupa na mfuniko
Hivi itatokea timu kutoka Africa itatwaa kombe la dunia? Mpira wetu ni wakawaida sana, yani viwango vya chini sana.
Wakipeleka mbele bila macho tutasema butua butuaJana nmeona Lesotho haikua na ujinga huu wao wakipata hatakama mpinzani nimzuri vipi wanapeleka mbele .