Naona Salim anamwambia Bacca Tulia wewe Uto? ππUnaweza kumpiga makofi yani Taifa stars haina muunganiko kabisa kama vile wanaogopana
Shida wanazungukwa na wachezaji gani. Tazama yanga pale mbele, hata ukiwekwa wewe utatisha.Wachezaji wanavyocheza kwenye clubs zao ni tofauti sana na wanavyocheza hapa.
Labda tatizo ni kocha sijui, ila inafikirisha sana. Mzize wa Yanga, Fei toto wa Azam ni watu tofauti kabisa.
Tusubiri muujiza
Lolote liwakuteGuinea msituangushe.
Akifunga wa kwetu unishtueπKwani tunacheza leo?? πππππ
tunalia na mwanetuMnawacheka taifa stars
GUINEA hamuwaoni ujinga wanaofanya