Raphael Thedomiri
JF-Expert Member
- Sep 1, 2019
- 442
- 729
HahaView attachment 2513970
Rais wao ni Tall, huko ndio asili ya akina pogba, ndio maana vichezaji vya simba wanaviangalia kama vitoto vya shule za chekechea havina afya, hao wanakula fufu na samaki lazima wawe na afya
Kuwa na uzalendo basiNa wapigwe kama ngoma tuu
Siyo tu Onyango, kurudisha mpira kwa Manula 9/10 mpira unaenda kupotea maana yeye anapiga tu mbele. Robertinho alivyokwenda kwao Brazil, akarudi, Simba wanacheza mpira ule ule wa Mgunda ambao ni wa taratibu, back passes nyingi na kushindwa kupenetrate pale mbele. Huu ndiyo ulikuwa mpira wa Simba kabla ya Robertinho.Ubeki wa Onyango ni ule wa kizamani sana, yani lile style ya kuondosha tu bila kujali umiliki wa mpira. Matokeo yake kila akiondoa anasababisha hatari nyingine.
Hakuna game hapa.
Aliekufa tano unamuweka wapi[emoji2][emoji2][emoji2]Maneno mengi! Mwisho wa siku mkiani mwa kundi, kunawahusu.
Kazi iendelee horoyaaa
MAKOLO NI MWENDO TU WA BACK PAS[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Bado Raja . kwa hawa miamba simba watakufa 10
Kesho mkiwa uwanjani nisisikie habari za UzalendoRobertinho anatibiwa kule. Pressure imepanda
Mkuu acha roho ya hivyo aisee daaManeno mengi! Mwisho wa siku mkiani mwa kundi, kunawahusu.
Huu mkeka unachanika mechi ya kwanza kabisaHesabu ya Simba Iwe hivi
Droo na Horoya Kwake shinda Kwa Mkapa point 4
Mfunge Vipers Home and Away point 6
Casablanca achane naye Jumla Point 10
Tunafuzu
Nakubaliana na wewe Casablanca tusimpigie hesabu unga hautoshiHesabu ya Simba Iwe hivi
Droo na Horoya Kwake shinda Kwa Mkapa point 4
Mfunge Vipers Home and Away point 6
Casablanca achane naye Jumla Point 10
Tunafuzu
Mamady doumbayaView attachment 2513970
Rais wao ni Tall, huko ndio asili ya akina pogba, ndio maana vichezaji vya simba wanaviangalia kama vitoto vya shule za chekechea havina afya, hao wanakula fufu na samaki lazima wawe na afya
Mirefu haswa ila wakija kwa Mkapa watakuwa kama steve nyerere tuNi mirefu hii mijamaa duuuh inapasiana kwa vichwa tuuu..
Sackho hajapata mwanya apenye kwny hiyo miguu yao mirefu kama ngamia
Nakubaliana na wewe Casablanca tusimpigie hesabu unga hautoshi