Interlacustrine E
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 3,397
- 6,015
Kalpana, naona Makoloko inakutesa sana, hamia kwa Wananchi upate raha maana Makolokolo si kabila [emoji4]Yani midomo yao mpk wafunge [emoji38]
Si unajua kelele za vyura huwa ndani ya maji .....
Najua umeelewa na umeipata hasswaaaLabda hiyo timu ipo kijijini kwenu
Uwiiii siwezi mkuu hahahahaKalpana, naona Makoloko inakutesa sana, hamia kwa Wananchi upate raha maana Makolokolo si kabila [emoji4]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Granted.Haya heshima yako mkuu
Makolokolo/Mbumbumbu/Malalamiko/Makelele/Kolowizards/Mikia/Ngada mlishazoea kupigwa 1 la nguruwe lenye Watoto 12 wala hamjistukii [emoji2]Kesho Dunduka la pili linaaibisha kwa kula nyingi huko
Kwahiyo unalipishia sio?Ninyi si huwa mnaanzisha vinyuzi vyenu vya kijinga jinga kuwatabiria Yanga FC mabaya?
Unajitoa ufahamu kwamba hata humu JF tayari mlishaanza kuwa Manabii uchwara wa kuwatabiria Yanga FC mabaya ilihali yenu mlijitoa ufahamu? [emoji847]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Kama kapu ulilopewa weweKuna timu iandae kapu la magoli kesho
Ngoja nikufanyie vetting kisha nijibebee jiko afu ujitekenye mbele yangu kuwa hushabikii Yanga uone utachopata [emoji3]Uwiiii siwezi mkuu hahahaha
Utopolo tena
Hapana lakini napenda tu kuwakumbusha muwe na akiba, shida yenu Watani zetu kejeli nyingi sana kuhusu sisi Wananchi kuliko uhalisia...[emoji38]Kwahiyo unalipishia sio?
NYokanyoka/vyura/kinyefc/kandambili/gongowazi/n.k n.kMakolokolo/Mbumbumbu/Malalamiko/Makelele/Kolowizards/Mikia/Ngada mlishazoea kupigwa 1 la nguruwe lenye Watoto 12 wala hamjistukii [emoji2]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
HaiwezekaniNaona msimamo wa kundi kwa mechi za mwisho ukisomeka hivi:
1. Raja Casablanca 15
2. Horoya. 13
3.Vipers. 7
4. Simba. 4
Ukibisha njoo nimekaa pale
.
SawaNYokanyoka/vyura/kinyefc/kandambili/gongowazi/n.k n.k
Kesho mtakula hamsa...wanaume wanawapigaga Uto kuanzia bao 4 nakuendelea moja ni udhaifu.. π [emoji38][emoji38][emoji38]
Unakumbuka Raja 6 Yanga sufuri
amalizie na " ku" itapendeza zaidi.Huyu mtangazji kwenye DStv anamuita Kibu "Chibu"
Tunasubiria marehemu mwingine kesho tuunge ndege mojaSasa sijui tunazika au tunasafirisha?