Designer_3434
JF-Expert Member
- Dec 4, 2015
- 4,901
- 3,941
Simba nguvu moja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani anaishi ndivyo sivyoIla Ujugu hana akili kabisa 😆😆View attachment 2513711
SawaFanya cashout mkuu utanishukuru mimi[emoji39]
OkTunafungwa zaidi ya mbili na Yanga kesho hivyo hivyo tuu.
Wanaonyesha Chanel 228Hivi Dstv hawaoneshi game?
Rafiki wadiz mbetie Simba ashinde utanishukuru badaeNimempa Horoya Ashinde na2+ nimeweka laki2 , Odd ya 3.20
Mwisho wa siku Simba akasonga mbele na Al Ahly hatua ya robo fainali.Hakika Vipers wametembelea nyota ya simba ya mwaka uleee!! Yaani ilikuwa ni khamsa khamsa kwa kwenda mbele.
SeMBe wakifanikiwa kushinda leo, Basi ushindi wake si kwa sababu ya ubora. SeMBe wanashinda kwa kuogopwa kutokana na legacy waliyojiwekea miaka michache iliyopita.Hii mechi lolote linares kutokea simba wakitulia wanaweza kushinda hii game
Pambaneni na nyie Nyoka huko kwa waarabu msije babuka ngozi kwa baridiSeMBe wakifanikiwa kushinda leo, Basi ushindi wake si kwa sababu ya ubora. SeMBe wanashinda kwa kuogopwa kutokana na legacy waliyojiwekea miaka michache iliyopita.
Lakini wapinzani wakiondoa woga watapata matokeo wanayo deserve.
"NZI AKIACHA UJINGA ANAWEZA KUTENGENEZA ASALI"
Usijizime dataHakika Vipers wametembelea nyota ya simba ya mwaka uleee!! Yaani ilikuwa ni khamsa khamsa kwa kwenda mbele.
Niite mbwaSomething tells me things are gonna be alright