FT|| Horoya AC 1-0 Simba SC | CAF Champions League | Stade General Lansana Conte | 11.02.2023

FT|| Horoya AC 1-0 Simba SC | CAF Champions League | Stade General Lansana Conte | 11.02.2023

Ili kuhakikisha kikosi kimekamilika kweli kweli, kikosi kilichoanza na Singida kianze, Phiri aanzie nje nafasi yake aanze Kyombo au Kibu (najua mtanirushia mawe) maana kipindi cha kwanza kiwe cha kuwasoma washkaji, kujilinda na kufanya mashambulizi ya kushtukiza na napendekeza Israel Mwenda aanza nafasi ya Mohammed Hussein.

Bocco asiingizwe hadi tumejihakikishia ushindi.
 
Taifa Kubwa..!!!
🫶[emoji2532]🫶[emoji2532]🫶[emoji2532][emoji109][emoji2532][emoji109][emoji2532]
 
Ni msimu mwingine wa Ligi ya Mabingwa Africa. Leo hapa nyumbani Tanzania ni sikukuu kwa wapenda kandanda hasa soka la kuvutia, Samba Loketo.

Wawakilishi wa Tanzania, katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, Simba SC leo majira ya saa 1:00 usiku atashuka dimbani huko nchini Guinea, kuchuana na Horoya AC katika dimba la Stade General Lansana Conte.

Simba ambao wamejizolea umaarufu linapokuja suala la mechi za kimataifa, wamekuwa wakifanya vizuri sana watashuka dimbani wakiwa na lengo la kupata matokeo mazuri hasa baada ya vinara wa kundi lao Raja kuibomoa Vipers 5-0 katika mchezo uliopigwa jana usiku.

Simba itawakosa baadhi ya wachezaji kama Jonas Mkude, Augustine Okrah, Saido Ntibazonkiza ambao wamebaki nyumbani Tanzania kutokana na sababu mbalimbali.

Mchezo utakuwa mubashara kupitia ZBC2 katika Kisimbuzi cha AzamTv na Chaneli 229 katika kisimbuzi cha DStv.

Karibuni sana kwa live updates...kila la heri kwa mnyama mkubwa mwituni
View attachment 2513148
Nimempa Horoya Ashinde na2+ nimeweka laki2 , Odd ya 3.20
 
Ili kuhakikisha kikosi kimekamilika kweli kweli, kikosi kilichoanza na Singida kianze, Phiri aanzie nje nafasi yake aanze Kyombo au Kibu (najua mtanirushia mawe) maana kipindi cha kwanza kiwe cha kuwasoma washkaji, kujilinda na kufanya mashambulizi ya kushtukiza na napendekeza Israel Mwenda aanza nafasi ya Mohammed Hussein.

Bocco asiingizwe hadi tumejihakikishia ushindi.
Kama mleta mada alivyosema,the best defensive way is to attack.Sasa unaanza na Kibu ambaye hata kukaa na mpira hawezi unajitakia mema kweli?

Si kila ,mara wapinzani watabisha hodi golini kwenu maana mipira haitakaa mbele.Pili huyo mwenda ulishamuona akicheza 3 kwa ufanisi kweli?

Au unafanya majaribio kwenye mechi dume ?
 
Kama Taifa stars haiwaunganishi ndio sembuse hivi vilabu? Unamdanganya nani? Unajidanganya nafsi yako.

Huko mitandaoni Haji Mañara na huyu boya msemaji wa Simba ndio wanazidi kutia petrol kwenye moto.

Huko mitandaoni msemaji wa Simba anatumia muda mwingi kuisema Yanga, huku Haji Manara akionekana dhahiri ana kisasi na timu yake ya Simba.

At least Ally Kamwe ni bwana Mdogo lakini is far better kuliko haya matutusa mawili ya Simba Haji Manara na Ahmed Ally.
Umeamua kujipa PhD zile za sampuli ya kina Msukuma na Taletale?

Dr Matola😂.
 
Back
Top Bottom