OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ivi ulitegemea Simba tungeshinda hii mechi kweli? Nakwambia ivi hatushindi mechi ata moya hii atuaSio mbaya, tujipange kwa mechi zijazo naamini mwalimu atayafanyia kazi makosa ya mchezo wa leo.
Nguvu Moja
Si mara ya kwanza kuanza hivi lakini ikaingia robo fainaliSimba walichoizidi vipers ni tofauti ya magoli ya kufungwa ila wote wana point zero
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Sasa Hesabu zibaki hivi.
Tu draw na Raja kwa Mkapa watufunge kwako point 1
Tumfunge Horoya Kwa Mkapa 3
Huyu vipers tumpike nje ndani 6
Jumla 10.
Pole usinune sana,ila huna Timu mkuu,Horoya si timu tishio hivyoYani hii ya kuonyesha typing inachekesha watu wamejazana kwny kutype mpk seva inajam hahaaaaa
ataIvi ulitegemea Simba tungeshinda hii mechi kweli? Nakwambia ivi hatushindi mechi ata moya hii atua
Ulitaka aingie nani? Haikuwa siku nzuri tu ila kila kitu kilikuwa perfect.Unaingiza mchezaji ambaye ameishiwa nguvu za miguu kwneye mechi inayohitaji nguvu kama hii. Hata kuruka hawezi. Nilisema toka game haijaanza hii game haikumfaa.
Timu we unayo?Tumetaka wenyewe kufungwa
Match ya looser nani ahangaike nayo?Tuliwaambia msihangaike na mechi ya Yanga ya kesho nanyinyi Leo mna mechi ona kilicho wakuta. Hongera Kwa Manura maana bila yeye mechi ingekua imeisha mapema.
Kuna timu iandae kapu la magoli kesho
Yako yamekushinda unahangaika na mambo ya wengine 😀😀😀Kuna timu iandae kapu la magoli kesho
Simba ya kina kibuSi mara ya kwanza kuanza hivi lakini ikaingia robo fainali
Maneno ya loser hayaAsante Mungu bahati haikuwa upande wetu Simba lkn nmeridhka.
Subiri matokeo ya mechi ya keshoTuliwaambia msihangaike na mechi ya Yanga ya kesho nanyinyi Leo mna mechi ona kilicho wakuta. Hongera Kwa Manura maana bila yeye mechi ingekua imeisha mapema.