Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
UtakionaKikosi kipi kinachoweza kuogopwa na Wydad?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UtakionaKikosi kipi kinachoweza kuogopwa na Wydad?
Second halfWapi
Banda
Okra
Ntibayonkiza
Phili
Ushamba huuHao wamewekwa kama reserve kwa ajili ya mechi kubwa ya CAF japo Okra nadhani anaweza akawa na sababu nyingine pengine ni match fitness
Ila kwa Phiri ndio sijapata majibu bado
Banda naye sijui mechi hii kwanini hayupo
Hakuna siku ameacha kuzururaKibu leo anazurura tuu
Huwezi kumfananisha na Sewa dogo, Pepo utaisikia tuSawadogo amekuwa kama Azizi Ki yani mechi dakika 90 hawezi
Second half
Unaelewa mechi hii ikaisha bila Simba kufungwa kwa kikosi hiki, hiyo itaonesha nyingi mliofungwa mkiwa full mkoko ni wabovu zaidi?Ushamba huu
Tuwe wapole kocha yuko makiniMbona kama hawapo hata benchi mkuu, Ila kocha kazingua sana
Aziz Ki naye siku hizi anatema mate tuHuwezi kumfananisha na Sewa dogo, Pepo utaisikia tu
Najua katika comparison lengo sio kupata aliye bora kwasababu wote tunajua ni wabovuHuwezi kumfananisha na Sewa dogo, Pepo utaisikia tu
Na mtakerwa sana kwa timu yenu hii ya unga unga mwanaHuyu mtangazaji mbna km anatoa mipashoo, yaan anakeraa mnooo.
Huwezi kumfananisha na Sawadogo,hata wewe roho inakuumaAziz Ki naye siku hizi anatema mate tu