vibertz
JF-Expert Member
- Mar 15, 2022
- 2,474
- 4,726
Muanze kupiga chini wachezaji wenu walioshindwa kuwapa ubingwaMusonda kwa Kiwango hiki apigwe chini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muanze kupiga chini wachezaji wenu walioshindwa kuwapa ubingwaMusonda kwa Kiwango hiki apigwe chini
4Utasikia dakika zimeongezwa 10 basi
Usichanganywe na comment za humu. Wengine tunafuatilia mechi si kwa kuwa tuna ushabiki wa kulia lia kivile, bali ni wazee wa mikeka. Mfano hapo mimi niliweka under 1.5, kwa hiyo ukiona nachungulia na kutoka, ujue naangalia hela yangu mzee, kiroho kinadunda huku! Naona inakaribia kutiki, cha msingi lisiingie zaidi ya goli moja, hata hilo moja likiwa ni la Yanga mimi sijali, nipo kimaslahi zaidi, nimebana huku goli zisiingie nipate ya dinnerNenda kadili na makolo wenzio wewe 😂
Hadi guede wangu? Au hajacheza?Leo wananchi wamecheza chini ya kiwango. Hata wakitolewa, sitashangaa.
Dakika ya ngapi?Leo wananchi wamecheza chini ya kiwango. Hata wakitolewa, sitashangaa.
Naunga mkono hojaMuanze kupiga chini wachezaji wenu walioshindwa kuwapa ubingwa
Sio chini ya kiwango game ipo tough hiiLeo wananchi wamecheza chini ya kiwango. Hata wakitolewa, sitashangaa.
Leo wananchi wamecheza chini ya kiwango. Hata wakitolewa, sitashangaa.
Noma sanaDakika ya 93
Guede ameingia kipindi cha pili lakini hajaonesha makali yoyote.Hadi guede wangu? Au hajacheza?
njoo pateli upooNgapi ngapi huku Morombo umeme umekata
Yanga inabidi ikae chini na ihefu wamalize matatizo yaoZimesalia sekunde chache tukamilishe 90
Game dume hiiYanga inabidi ikae chini na ihefu wamalize matatizo yao