Abeid L Msanganzila
Senior Member
- Dec 30, 2018
- 163
- 343
We huzielewi hizi kanuni za kombe hili. Miaka yote ipo hivo ndiyo maana match,zinaanza kuchezwa saa tisa na nusu coz wangeanza saa kumi kamili game ikiisha dak 90 draw zikiongezwa dak 30 nazo zikaisha kwa draw basi matuta yanaweza kupigwa gizan maana viwanja hivyo havina taa!Kwanini iwe mpaka Dk ya 60 ndo itangazwe,
Kanuni huwa zipo tayari Kabla Mashindano hayajaanza....
Ilikuwa ni Lzm Utopolo washinde!