Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
FaridMusonda out
Uko sahihi kabisa. Amepoteza zaidi ya nafasi mbili za kufunga. Bado kuna assist alitakiwa kutoa, akashindwa kufanya hivyo.Leo mchezaji aliyeongoza kwa kucheza hovyo ni Azizi Ki
Kabisa kaka 🤣😁😂😂😂Kwamba hutaki kujua!?
Ni kweli Diarra ndiyo man of the match kwa Yanga mpaka sasa.Chini ya kiwango vipi wakati Diara anamwagiwa sifa kudaka vizuri kuliko golikipa wa Ihefu?
Kanuni zimewekwa tokea awali, mpira wakati unaendelea dakika za 60+ mtangazaji katangaza kabisa kuwa kama matokeo yatakuwa hivyo zitaongezwa dakika 30. Halafu kwani hizo dakika zilizoongezwa wanacheza Yanga peke yao? Ihefu wao watakuwa wamefungwa miguu ili wasicheze? Ndio shida ukizoea kucheza mdakoHaya, Kanuni za Papo kwa Papo...Kubebwa kunaendelea... Dk 30 za nyongeza mpaka Utopolo wapiiiiiite..!
Mpaka Yanga ashindeDakika ya 94
Dakika 30 SheikhMpaka Yanga ashinde
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Game inaendelea dakika ya 96
Ihefu 0:0 Yanga