FT | Ihefu SC 1 - 1 Simba SC | NBC Premier League | Liti stadium | Aprili 13, 2024

FT | Ihefu SC 1 - 1 Simba SC | NBC Premier League | Liti stadium | Aprili 13, 2024

Naongelea mpira, siongelei kishabiki, kama swala la ushabiki mimi sio shabiki wa Simba. Nachosema Mechi ya Simba na Yanga huwa hazitabiriki. Na huwezi kukuta Simba ilivyocheza leo ndivyo itakayocheza hivyo hivyo dhidi ya Yanga.
Ndio maana nikatoa mfano ile mechi Yanga inafungwa goli 2-0 unataka kusema Simba ilikuwa bora kuliko Yanga?
Mbona husemi msimu huu nyie wabovu na Yanga yupo moto na mkala goli tano round ya kwanza?
 
Simba ondoa FRED, JOBE, MICQUISON, ONANA, NGOMA....hawa ni mzigo kwa sasa. NGOMA anaonyesha kuchoka, kwa sasa hana physique....
Ok naye BENCHIKA hana uwezo mkubwa wa kusoma mchezo hasa ktk sub zake.
Game ya leo haikuwa ya kumtoa CHAMA pale mbele...
Game ambazo SAIODOO zinamgomea utaona hadi dk 85..
Kwa kifupi BENCHIIKA ange - EXIT tu sioni akijenga team ya matumaini in future
....
Akipewa wachezaji wa maana ataweza.
 
Nipo likizo ya kushabikia Simba, nipumzisheni kidogo
1000184329.jpg
 
Simba ondoa FRED, JOBE, MICQUISON, ONANA, NGOMA....hawa ni mzigo kwa sasa. NGOMA anaonyesha kuchoka, kwa sasa hana physique....
Ok naye BENCHIKA hana uwezo mkubwa wa kusoma mchezo hasa ktk sub zake.
Game ya leo haikuwa ya kumtoa CHAMA pale mbele...
Game ambazo SAIODOO zinamgomea utaona hadi dk 85..
Kwa kifupi BENCHIIKA ange - EXIT tu sioni akijenga team ya matumaini in future
....
Ngoma yule mlie mteka airport?
 
Hiyo ndio inaitwa kuja na matokeo uwanjani. Kila mmoja hadi mashabiki wa Simba wenyewe wanaamini kuwa tarehe 20 watafungwa. Kitakachofanyika ni wachezaji watahakikisha wanaenda kuwa prove wrong na hilo kwenye mpira wa miguu linawezekana. Ni sawa sawa na alivyofanyiwa Yanga ya Nabi kwenye ile game iliyoisha 2-0.
Kwenye hiyo game ka Ali Kamwe kalipata msongo wa mawazo!
 
Back
Top Bottom