FT | Ihefu SC 1 - 1 Simba SC | NBC Premier League | Liti stadium | Aprili 13, 2024

FT | Ihefu SC 1 - 1 Simba SC | NBC Premier League | Liti stadium | Aprili 13, 2024

Weka na mfano ya 5 moyaa
5 -1 imetokana na Simba kushindwa kumuheshimu Yanga. Kutaka kupishana na Yanga ikamponza hivyo walizidiwa kimbinu.
Tukumbuke ilikuwa kocha mwingine na huyu ni mwingine, na mazingira pia yanaweza kuwa ni tofauti. Ni mechi ipi ya Yanga na Simba iliwahi kutabirika kiuwepesi ukiachana na hiyo 5-1?
 
WaPuuxi WANAKAA kupigaaa Dili za wachezajii na limewaajaaa dewji kawaachia mpambanr na TIMU yenuuuu dadaa


juzii magorii kaulizwa nasikia wachezajii wanalalamika dewji ayuko karibu na TIMU kama mnampiga afanyajee...
 
Naongelea mpira, siongelei kishabiki, kama swala la ushabiki mimi sio shabiki wa Simba. Nachosema Mechi ya Simba na Yanga huwa hazitabiriki. Na huwezi kukuta Simba ilivyocheza leo ndivyo itakayocheza hivyo hivyo dhidi ya Yanga.
Ndio maana nikatoa mfano ile mechi Yanga inafungwa goli 2-0 unataka kusema Simba ilikuwa bora kuliko Yanga?
Kama mkulungwa siwezi kukupinga, game za daby huwaga ni kichefu chefu tu.
Hata wao kipindi wako vizuri lakini game zetu pindi tulipo kutana tulikua tunawawaajabisha.
Fikiria game ya pili mzunguko wa pili msimu uliopita, kila shabiki wa Yanga alijiaminisha anaenda kupiga kenge, lakini kilicho tukuta kila mtu hakuamini....... hiyo ndio daby.
 
Hamna kitu tena kwa mandunduka
Wamebakia humu......
FB_IMG_1713019801035.jpg
 
5 -1 imetokana na Simba kushindwa kumuheshimu Yanga. Kutaka kupishana na Yanga ikamponza hivyo walizidiwa kimbinu.
Tukumbuke ilikuwa kocha mwingine na huyu ni mwingine, na mazingira pia yanaweza kuwa ni tofauti. Ni mechi ipi ya Yanga na Simba iliwahi kutabirika kiuwepesi ukiachana na hiyo 5-1?
Tarehe 20 kaka wewe kazi unayo tupishane Tena tarehe 20 😂
 
Makolo msifanye makosa kwenye usajili msimu ujao ,nasimama na maneno ya Afande Sele "Mimi msimbazi damu japo siombeo mabaya yanga iwe na hali ngumu ,unadhani yanga ikifa timu gani itajaza uwanja labda timu za mtoni".

Tunaiombea simba msimu ujao mudi asifanye janjajanja ya kuleta ubahili kununua wachezaji ,wafanye kama GSM/Eng wanavyomwaga mizigo.
 
Huyo dogo namuelewa tangu yuko Geita huwa ni aggressive hatari sijajua wanangoja Nini kumchukua ila kwa jicho la mpira akipata proper training ni future ya mpira
Digo yuko poa sana. Nilimkubali sana kwenye ile Afcon ya U17 ambayo walikua na kina Kabwili, Kibabage, Sopu, Job. Ofcozi ni kweli akipata training nzuri ni kiungo wa kati mzuri sana
 
Back
Top Bottom