ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Hilo ni kombe au sahaniMsisahau tuna kombe la ngao ya jamii mwaka huu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo ni kombe au sahaniMsisahau tuna kombe la ngao ya jamii mwaka huu.
NgaoHilo ni kombe au sahani
Makolo ngao ya Jamii ya wapi Lubumbashi?Msisahau tuna kombe la ngao ya jamii mwaka huu.
Mechi ya Simba vs Yanga, huwa naziheshimu sana ina mambo mengi sana kama surprise. Unaweza kuwa bora na ukafungwa au ukapata sare. Yanga ya Nabi ilikuwa bora ila akapigwa goli mbili za fasta na ngoma ikaisha hivyoNdugu zangu tarehe 20 ntawapiga kama ngoma naziona 7 [emoji23][emoji16]
Simba ikitaka kuifunga Yanga ishinde zaidi ya goli tatu ndani ya Dakika 20 za mwanzo na kisha ipaki bus tofauti na hapo ni kichapo mwanzo mwisho au itafute draw kwa kupaki basi mwanzo mwisho. Mpaka sasa kisaikolojia Simba tushamfunga [emoji23]Mechi ya Simba vs Yanga, huwa naziheshimu sana ina mambo mengi sana kama surprise. Unaweza kuwa bora na ukafungwa au ukapata sare. Yanga ya Nabi ilikuwa bora ila akapigwa goli mbili za fasta na ngoma ikaisha hivyo
Hiyo ndio inaitwa kuja na matokeo uwanjani. Kila mmoja hadi mashabiki wa Simba wenyewe wanaamini kuwa tarehe 20 watafungwa. Kitakachofanyika ni wachezaji watahakikisha wanaenda kuwa prove wrong na hilo kwenye mpira wa miguu linawezekana. Ni sawa sawa na alivyofanyiwa Yanga ya Nabi kwenye ile game iliyoisha 2-0.Simba ikitaka kuifunga Yanga ishinde zaidi ya goli tatu ndani ya Dakika 20 za mwanzo na kisha ipaki bus tofauti na hapo ni kichapo mwanzo mwisho au itafute draw kwa kupaki basi mwanzo mwisho. Mpaka sasa kisaikolojia Simba tushamfunga [emoji23]
Wewe endelea kujidanganya na timu yako mbovu hiyo,ukija kizembe kama leo na timu yako mbovu ukiingia kwenye mfumo wa Gamond kono la nyani linakuhusu tena.Hiyo ndio inaitwa kuja na matokeo uwanjani. Kila mmoja hadi mashabiki wa Simba wenyewe wanaamini kuwa tarehe 20 watafungwa. Kitakachofanyika ni wachezaji watahakikisha wanaenda kuwa prove wrong na hilo kwenye mpira wa miguu linawezekana. Ni sawa sawa na alivyofanyiwa Yanga ya Nabi kwenye ile game iliyoisha 2-0.
Msemaji wao amesema mpaka sasa timu inaitwa Ihefu.Huyo Graphic designer wao kimeo mnamuita Admin kanjanja Ila Ihefu haipo IPO Singida Black Stars Ihefu ishafutwa
Lile ni kombe ama sahani la pilau?Msisahau tuna kombe la ngao ya jamii mwaka huu.
Naongelea mpira, siongelei kishabiki, kama swala la ushabiki mimi sio shabiki wa Simba. Nachosema Mechi ya Simba na Yanga huwa hazitabiriki. Na huwezi kukuta Simba ilivyocheza leo ndivyo itakayocheza hivyo hivyo dhidi ya Yanga.Wewe endelea kujidanganya na timu yako mbovu hiyo,ukija kizembe kama leo na timu yako mbovu ukiingia kwenye mfumo wa Gamond kono la nyani linakuhusu tena.
Ila tarehe 20 hautoboi mkuuMechi ya Simba vs Yanga, huwa naziheshimu sana ina mambo mengi sana kama surprise. Unaweza kuwa bora na ukafungwa au ukapata sare. Yanga ya Nabi ilikuwa bora ila akapigwa goli mbili za fasta na ngoma ikaisha hivyo
Sawa mkuuSimba itakuja kivingine safari hii ...
Weka na mfano ya 5 moyaaNaongelea mpira, siongelei kishabiki, kama swala la ushabiki mimi sio shabiki wa Simba. Nachosema Mechi ya Simba na Yanga huwa hazitabiriki. Na huwezi kukuta Simba ilivyocheza leo ndivyo itakayocheza hivyo hivyo dhidi ya Yanga.
Ndio maana nikatoa mfano ile mechi Yanga inafungwa goli 2-0 unataka kusema Simba ilikuwa bora kuliko Yanga?
Kama ngao ya jamii ni kombe basi ikubalike kuwa msimu uliyoisha Yanga ilibeba treble.Msisahau tuna kombe la ngao ya jamii mwaka huu.
Mkuu hizo ni Sawa na kunywa mtori na chapat...perfect ComboBado ili kuwa bingwa lazima ashinde match 5 zilizoko mbele yake ndio atajiita bingwa
Huyo ni mwana yanga mwenzetu na anacho kisema ni chakweli.Wewe endelea kujidanganya na timu yako mbovu hiyo,ukija kizembe kama leo na timu yako mbovu ukiingia kwenye mfumo wa Gamond kono la nyani linakuhusu tena.