Huja
JF-Expert Member
- Aug 7, 2021
- 1,167
- 1,848
Simba ondoa FRED, JOBE, MICQUISON, ONANA, NGOMA....hawa ni mzigo kwa sasa. NGOMA anaonyesha kuchoka, kwa sasa hana physique....
Ok naye BENCHIKA hana uwezo mkubwa wa kusoma mchezo hasa ktk sub zake.
Game ya leo haikuwa ya kumtoa CHAMA pale mbele...
Game ambazo SAIODOO zinamgomea utaona hadi dk 85..
Kwa kifupi BENCHIIKA ange - EXIT tu sioni akijenga team ya matumaini in future
....
Ok naye BENCHIKA hana uwezo mkubwa wa kusoma mchezo hasa ktk sub zake.
Game ya leo haikuwa ya kumtoa CHAMA pale mbele...
Game ambazo SAIODOO zinamgomea utaona hadi dk 85..
Kwa kifupi BENCHIIKA ange - EXIT tu sioni akijenga team ya matumaini in future
....