Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Mbona husemi msimu huu nyie wabovu na Yanga yupo moto na mkala goli tano round ya kwanza?Naongelea mpira, siongelei kishabiki, kama swala la ushabiki mimi sio shabiki wa Simba. Nachosema Mechi ya Simba na Yanga huwa hazitabiriki. Na huwezi kukuta Simba ilivyocheza leo ndivyo itakayocheza hivyo hivyo dhidi ya Yanga.
Ndio maana nikatoa mfano ile mechi Yanga inafungwa goli 2-0 unataka kusema Simba ilikuwa bora kuliko Yanga?
We dingi unazingua muda mwingine, asante kwa taarifa ipi sasa!
Akipewa wachezaji wa maana ataweza.Simba ondoa FRED, JOBE, MICQUISON, ONANA, NGOMA....hawa ni mzigo kwa sasa. NGOMA anaonyesha kuchoka, kwa sasa hana physique....
Ok naye BENCHIKA hana uwezo mkubwa wa kusoma mchezo hasa ktk sub zake.
Game ya leo haikuwa ya kumtoa CHAMA pale mbele...
Game ambazo SAIODOO zinamgomea utaona hadi dk 85..
Kwa kifupi BENCHIIKA ange - EXIT tu sioni akijenga team ya matumaini in future
....
Una roho mbaya wewe 😆😆 tarehe 20 inabidi wale Kono tenaMajukumu yanasingiziwa tu hapa.....
Friends of Ihefu, tunawatakia kila laheri, simba apakwe tu alizeti wakati akingoja tarehe 20 hiyo kupakwa parachute
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣5imba imekuwa kama klabu cha Pombe za kienyeji, kila mtu anajinywea kwa bei chee
Nipo likizo ya kushabikia Simba, nipumzisheni kidogo
Hivi huyo ni Me au Ke?We dingi unazingua muda mwingine, asante kwa taarifa ipi sasa!
Atakuwa me, hamna ke anaweza kuwa na mikato ya dizaini hiiHivi huyo ni Me au Ke?
Timu Mbovu Unajipa Matumaini.
Huyu jamaa anapitia kipindi kigumu sana kwa sasa. Nilimuona wakati mchezo unaendelea, kuna wakati aliitupa kofia yake chini kwa hasira! Na baadaye akaiokota!!
Dah, namuona kama vile ni mtu aliekata tamaa, sijui anaifikiria derby, au anajuta kuja TZ kuharibu CV yake kwa kufundisha timu yenye jina kubwa lakini inawachezaji wasio fundishika.
Kombe la ngao?[emoji23][emoji23][emoji23]Msisahau tuna kombe la ngao ya jamii mwaka huu.
Ngoma yule mlie mteka airport?Simba ondoa FRED, JOBE, MICQUISON, ONANA, NGOMA....hawa ni mzigo kwa sasa. NGOMA anaonyesha kuchoka, kwa sasa hana physique....
Ok naye BENCHIKA hana uwezo mkubwa wa kusoma mchezo hasa ktk sub zake.
Game ya leo haikuwa ya kumtoa CHAMA pale mbele...
Game ambazo SAIODOO zinamgomea utaona hadi dk 85..
Kwa kifupi BENCHIIKA ange - EXIT tu sioni akijenga team ya matumaini in future
....
aliingizwa kingDah, namuona kama vile ni mtu aliekata tamaa, sijui anaifikiria derby, au anajuta kuja TZ kuharibu CV yake kwa kufundisha timu yenye jina kubwa lakini inawachezaji wasio fundishika.
Happy Birthday....!🥂😂😂
siyo kwa hizo sarakasi mtoto wa Miguel Ángel Gamondi..!!
Kwenye hiyo game ka Ali Kamwe kalipata msongo wa mawazo!Hiyo ndio inaitwa kuja na matokeo uwanjani. Kila mmoja hadi mashabiki wa Simba wenyewe wanaamini kuwa tarehe 20 watafungwa. Kitakachofanyika ni wachezaji watahakikisha wanaenda kuwa prove wrong na hilo kwenye mpira wa miguu linawezekana. Ni sawa sawa na alivyofanyiwa Yanga ya Nabi kwenye ile game iliyoisha 2-0.
Ngao... Utopolo wanaumia kulikosa!Kombe la ngao?[emoji23][emoji23][emoji23]