uhurumoja
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 9,616
- 22,521
Wameshazoea sema msimu huu tungetangaza ubingwa mapema ili tupumzishe wachezaji kwa ajili ya final ya CrdbTayari Ihefu kashamnyoa mtu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wameshazoea sema msimu huu tungetangaza ubingwa mapema ili tupumzishe wachezaji kwa ajili ya final ya CrdbTayari Ihefu kashamnyoa mtu
Alafu mshakojolewa kimoja cha afya5imba Nguvu moja
UBUNTUUUUU BOTHOOOO
Yaani trh 20 yanga anajipigia tu kl kitu kipo downMashabiki wa simba wanatia huruma sana🤣
🤣🤣🤣🤣 Walikua mamelody BMadhara ya kushabikia mambo yasiyowahusu badala ya kufocus timu Yao sasa ndio wanayaona.
Niliwaonya mapema hapahapa kabla ya game ya Mamelodi.
Sasa wave vizuri jezi zao za Ubuthu Botho.
Nahisi kuna jambo haliko sawa.Ndugu yangu hii 5imba itakuja kukuangusha kwa presha....
Benchika ni kocha pekee mwenye bahati kuwa Simba tangu Simba ianzishwe 1936 huyu kocha ni hana plan kabisaHaitakiwi kuwa hivi.
Benchika aje na mpango mzuri.
Huu msimamo wangu humu since tunacheza na asec away
Nilisema 🤣🤣🤣🤣 unaanzaga na kauli za kishujaa mwisho unatepeta mwenyewe.Nahisi kuna jambo haliko sawa.
Nilisema Ihefu atapiga kwenye kidonda kibichiIhefu piga pale kwenye kidonda kibichi wazidi kutifuana.
Kwa timu ipi mliyonayo?Nahisi kuna jambo haliko sawa.
Emu ngoja nije nikunongoneze basiSitaki...!
Id za zamani 2017 kurudi nyuma ni watu poa sana ila sisi wengine matusi, ugomvi, umbea ndo umetutawalaZoeana na sisi.
Tukuambukize utajiri 🤗
Subiria vilio leo ni kipigo bila matutaHivi mmeona hatuna uwezo kabisa wakujilinda?