KINGDOM MONERA
Member
- Apr 17, 2023
- 78
- 54
Tate mkuu yanga alio benchi si sawa na Alie ndani imekuwaje Leo kikosi kipana Tate wanguHiki kikosi hata mimi nilikitilia mashaka tangu mwanzo. Ili tupate ushindi; Skudu, Sure Boy, Moloko, Kibwana, na Mauya wanatakiwa wapumzishwe. Hakijabalance kabisa.
Na leo mtafungwa babuHii mechi haikuwa sahihi kwa kocha kuanza na wachezaji wa kikosi cha pili. Ni mechi yenye presha kubwa kwa Yanga. Maana mwaka wa jana tulifungwa kwenye huu uwanja.
Kwa aina yake ya mpira, hataqeza kucheza ligi ya Bongo.Skudu mlaini kuliko hata ulaini wenyewe
Wanashindwa kubadili ubao kwa sabab hawaamin macho yaoAdmin badirisha ubao
Asante ndugu mtabiriKuna penati ya hovyo sana anapewa yanga dk ya 60+ mark my words
Skudu hamna kituWananchi hivi Kuna kitu mnakiona kwa Skudu ?
Tema mate chiniHuyu Pacome ukiondoa blichi lake kichwani hamna cha maana alichonacho
TayariTema mate chini
Poa,futa kauli yakoTayari
Hapana 1-1Yanga mnaongoza. Ila malalamiko kibao.
SifutiPoa,futa kauli yako
AahaaaaSifuti