Modes wana edit.Kwann sikuhizi mnaanzisha nyuzi kama mnakimbizwa kaa Chini chambua andika Uzi wa mechi unaovutia... Mnakera aisee... Anyway all the best champion Dar Young Africans
[emoji169][emoji172]
Inabidi Yanga ishinde moja tu ili kuwapa furaha mashabiki wa timu fulani.Yanga anashinda goli 3 bila niko pale nimekaa.
Mbwa wewe umejua kunivunja mbavu wakati nilikuwa nimemnunia mama yoyo sasa kaona nimecheka kajisogeza 😆😆😆😆Mh natamani kuona highland panakuwa pachungu .
Natamani mkung'utwe ila kila nikiwangalia IEFU naona hakuna sababu ya mimi kuamini upuuzi wa namna hiyo katika umri huu niliyonao .
By the way kila la kheri mtani.
AhaaaaaaMh natamani kuona highland panakuwa pachungu .
Natamani mkung'utwe ila kila nikiwangalia IEFU naona hakuna sababu ya mimi kuamini upuuzi wa namna hiyo katika umri huu niliyonao .
By the way kila la kheri mtani.
Sijaona timu ya Kuifunga Young Africans msimu huu safari ya kuweka historia ya UnbeatenKuna timu kubwa ita aibika leo..
Kabisaale tano