XII Tz
JF-Expert Member
- Aug 16, 2020
- 4,345
- 7,076
Muhimu mpira sio nyeto, sote tutajioneaUtabili wangu, Ihefu 0 - 4 Yanga.
Kuna goli moja litakataliwa, lasivyo Ihefu angekua anakufa 5 leo.
Mzize anarudi kambani mala mbili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muhimu mpira sio nyeto, sote tutajioneaUtabili wangu, Ihefu 0 - 4 Yanga.
Kuna goli moja litakataliwa, lasivyo Ihefu angekua anakufa 5 leo.
Mzize anarudi kambani mala mbili.
Leo watakuangushaIhefu hamjawahi kuniangusha
Unakatwa na mangunguKila la kheri IHEFU
Gift Fred Ana Shida Gani?
Hana shida, ashawahi kukuomba chumviGift Fred Ana Shida Gani?
Hiki kikosi kikipata ushindi leo, basi tutakubaliana wote Yanga ina kikosi kipana.
Mbona humuulizii Farid Musa Maliki, Dennis Nkane, Metacha Mnata, Abutwalib Mshery, Crispin Ngushi, na wengineo wengi?Gift Fred Ana Shida Gani?
KabisaHiki kikosi kikipata ushindi leo, basi tutakubaliana wote Yanga ina kikosi kipana.
Kikosi cha utopolo kinabadilika badilika ila sisikii watu wakipiga kelele kuwa kocha hana first eleven.. utopolo acheni nongwa mbwa nyie hatuja waomba mtuongelee yanayohusu timu yetu na mpigwe kipigo cha kizalendo leo.. NDENGELEC
Leo ndo ile siku halisi ya nyuma mwiko[emoji471] #NBCPremierLeague
[emoji460]️ Ihefu SC Vs Young Africans SC
[emoji414] 04.10.2023
[emoji909] Highland Estates
[emoji797] 10:00 Jioni
Tukutane muda huo.
Inaweza kuwa mechi ya Kisasi.
Kolo nenda kakatwe na kukazwa na mangungu ili upate akili acha kupiga makele nenda kwa try again akukpigeKikosi cha utopolo kinabadilika badilika ila sisikii watu wakipiga kelele kuwa kocha hana first eleven.. utopolo acheni nongwa mbwa nyie hatuja waomba mtuongelee yanayohusu timu yetu na mpigwe kipigo cha kizalendo leo.. NDENGELEC
Mwambie huyo koloKwani wanaolalamika Tinyo hana first eleven ni kina nani kama sio Simba wenyewe…!!!!
Yanga first eleven ya Simba inatuhusu nini?? Hakuna shabiki wa Yanga anayelalamika Robertinho kukosa first eleven..!!! Hayo watajua wenyewe