Sina lawama na Gamondi,aliwaamini wachezaji waliongia kipindi Cha kwanzaNajua watu mtamlaumu Kocha,ila sizani kama anastahili huu mpira kila mchezaji lazima achezee, Ihefu wametufundisha kitu hasa kwenye mipira ya kaunta walikuwa bora,tushapigwa tujiandae na mechi nyingine.
KabisaSisi wanayanga hakuna anayemlaumu kocha PEP anafungwa sembuse yanga
Lini Ulituambia?Tuliwaambia Elmereikh walikua na stress na njaaa...
Hahahahahh
Kwani hao ni wachezaji wa mkopo fc?Mechi ngumu kama hii anaanzisha wachezaji midebwedo.
Wameze mate yao sasa...Walibisha sana ila kimewaramba
Wapo humu,kwangu mimi tumecheza vizuri.Sisi wanayanga hakuna anayemlaumu kocha PEP anafungwa sembuse yanga
kwani meshabadilisha kauli mbiu yenu ya nyuma mwikoMkuu punguza matusi...
And that is what he is supposed to do and sayGamondi Kakwepa Kulaumu....
Kwa hiyo unataka kusema hata wewe mpaka leo hujamsahau!Nilisema mimi demu akitolewa bikra na bwana yake ni vigumu kumsahau. Yametimia 😺😺😺😺
Hahahaaa. Lol.
KumbeeYaani leo ndo watatueleza ule ushindi waliupataje pataje.
" Zengere" hakucheza? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
tupo sisi wanayangaLeo mtanikoma hakyanani na mtaniua kwa Furaha na nitawakereni hadi muombe poo.....!!
Kudadadeki.......!!
Chura kamwagiwa maji hawezi kuogelea, Maajabu[emoji471] #NBCPremierLeague
[emoji460]️ Ihefu SC Vs Young Africans SC
[emoji414] 04.10.2023
[emoji909] Highland Estates
[emoji797] 10:00 Jioni
Matokeo ya mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu uliozikutanisha timu hizo kwenye Uwanja huo msimu uliopita ambapo Ihefu iliibuka na ushindi wa mabao 2-1 ndio yanayoonekana kuchangia zaidi kuongeza msisimko wa mechi hiyo ya leo kwani yaliifanya Ihefu kuizuia Yanga kuweka rekodi ya kucheza mechi 49 za Ligi Kuu bila kupoteza.
Yanga inaingia katika mechi ya leo ikiwa na historia ya ubabe dhidi ya Ihefu kwani zimekutana mara nne kwenye Ligi Kuu, ikipoteza mechi moja na kuibuka na ushindi katika michezo mitatu.
Mbali na hilo, mabingwa hao watetezi wanaonekana kuwa na mwanzo mzuri katika ligi kuu msimu huu ambapo wameibuka na ushindi katika mechi zao zote tatu zilizopita dhidi ya KMC, JKT Tanzania na Namungo FC, huku wakifunga mabao 11 na kuruhusu nyavu zao kutikiswa mara mbili tu.
Ni tofauti na Ihefu ambayo katika michezo mitatu iliyopita, imepata ushindi mara moja tu na kupoteza mechi mbili, ikifunga bao moja na yenyewe imefungwa mabao mawili.
Tukutane muda huo.
Inaweza kuwa mechi ya Kisasi.
View attachment 2771681View attachment 2771682