clinical pharmacology2
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,387
- 2,516
Oooh hata aje Real madrid au Man city tunaweza kucheza nao [emoji23][emoji23]
Sawa...timu ya nusu fainali CAFTumekoswakoswa hapa
Kuna timu imegomea rushwa ya soka leo huko😀😀😀Leo mtanikoma hakyanani na mtaniua kwa Furaha na nitawakereni hadi muombe poo.....!!
Kudadadeki.......!!
wengine wabeba chumviSio kila mwenye kipara ni kocha [emoji23][emoji23]
Usikalili mkuu pole sana kunywa maji mengi..Atakula goli 4 huyo ihefu
Sio kila mwenye kipara ni kocha [emoji23][emoji23]
Ndio ndio wazee wa upana wa kikosiHiki kikosi kikipata ushindi leo, basi tutakubaliana wote Yanga ina kikosi kipana.
Jifariji mpira magori chifuLeo Yanga kila mtu amecheza lakini ngoma imekuwa ngumu kwao.
🤣 Kichw kimeshakaa sawa kumbe tumefungwa Kmmk.Tatizo una panick hatuwezi kutaniana mimi na wewe....
hapo wameukalia mwikoDaima mbele...View attachment 2771764