Ironbutterfly
JF-Expert Member
- Feb 5, 2023
- 3,042
- 8,227
Vidonda vya tumbo havimpati mwenye furaha mtani...Vidonda vya tumbo siyo jambo zuri
Ni Yale Yale ya msimu ulio pita.Maneno meengi leo mmefungwa mdomo.kiko wapi,,,😂😂😅😅
Ooooh hatujafungwa sijui nini leo mtoto wa geti katoka tu wajuba wemempaka wese namimba juuHapo sasa umekua sawa....mmekandwa sio kufungwa
mpaka sas n dak ya 128[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Game bado iko Live hapa JF [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahaha wanawarudisha utotoni[emoji1787][emoji1787]Ihefu kazi yao huwa ni kuwaanzisha moja
Unamwambia nani asiyejuaBy the way tumepoteza game
Aahaaaa,Vidonda vya tumbo havimpati mwenye furaha mtani...
Walifurahi sana wakanipiga malike kama yote kumbe nawaangalia tu .Walikuwa wanakuzoom tu pindi unaandika hivi...
Hata ingekuwa ni wewe kwenye ukweli tuseme ihefu imezingua ati wachezaji wanalala hovyo🤣🤣🤣wametaka kumpiga refa
Ngoja nitafte wakujipigia na mmHapo sasa umekua sawa....mmekandwa sio kufungwa
Ukimwi na UTI zipoNgoja nipite tiptop nipige goli mbili kwa hasira kulipiza Ihefu
Zipo kwa ajili yetu 🤣🤣🤣Ukimwi na UTI zipo
🤣🤣🤣Naingia chimbo mechi ya kesho Mnyama tuue mtu.Mods kama marefa tu
Wanafidia ule muda ambao ulipita bila kufanya changes kwenye score board