Bado kama tatu hivi [emoji28]Yaani leo ndo watatueleza ule ushindi waliupataje pataje.
ImooooKitu
We kundu wa msimbaziLeo ndo ile siku halisi ya nyuma mwiko
Mapeeeeema tuTayariiiiii
Kabisa anaendelea kuimproveHuyu Mzize NI balaaaaaaaa ipo siku kila mtu atakiri [emoji2957][emoji91][emoji91][emoji91]
cku ile c ulitema big g kwa karanga za kuonjeshwa ukatanua waaaaaaaaYaani leo ndo watatueleza ule ushindi waliupataje pataje.
Achana nae huyu alikua ananiomba buku akanywe chai [emoji1787][emoji1787][emoji1787]We kundu wa msimbazi
Bado nne...πBado kama tatu hivi [emoji28]
Arooo nilisahau kama mnara n 5G [emoji38]Bado nne...[emoji23]
Mods wanalala sanaWaambie kabisa Leo Mabingwa wanacheza wasijitoe ufahamu
π π πNaoma ndugu wa ihefu wamesusa matanga mapema kabisa [emoji2957][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Washindia MIHOGOAchana nae huyu alikua ananiomba buku akanywe chai [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hasa kwenye game zetu. πMods wanalala sana