paco anthony
JF-Expert Member
- Aug 10, 2018
- 516
- 831
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukifungwa umefungwa tu mi sio mwana siasa nilembe maneno! Tumefungwa ila nachoamini hii itambadili kocha ktk mbinu zake lazima apate la kujifunziaBora ww unayekubali matokeo
Hahahahaha duuh ila.hawa Ihefu hawajapatiwa mganga vizuri walegee...naona wamedinda dkk 90..
Twende zetu tukale nyama wew Leo kulikua hamna mechiMm nimeamua, nisile kabisa leo nishinde humu kuwakandia [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Kocha aingiliwi yule,historia yetu na ihefu wako daraja la kwanza match ni ngumu kama utakumbuka kuna msimu tulienda nao hadi penalti rostandi akatuokoa,msimu uliopita pia,binafsi nilipoona ile rotation ya wachezaji 8 nikajua tu ushindi leo droo,kocha kapata kitu cha kujifunza na hata wachezaji wetu wageni wamepata cha kujifunza kwanini ligi yetu ni miongoni mwa ligi bora afrika,wataongeza kujituma kufikia malengoHakika Swahiba.
Tayari tumeanza kupokea maneno kutoka kwa wadau wakereketwa walio hudhuria mechi uwanjani.Ukifungwa umefungwa tu mi sio mwana siasa nilembe maneno! Tumefungwa ila nachoamini hii itambadili kocha ktk mbinu zake lazima apate la kujifunzia
Ngoja waje dsmMke alichapwa msimu uliopita, safari hii ni kapewa mimba. ihefu kaleta kichefuchefu.
Dah! Tutasema...😂🤣Tupate burudani kidogoView attachment 2771763
Hahaha [emoji1787][emoji1787]Mna jikuta memelodi [emoji81][emoji81]
Hahaha. Hayo ni ya kesho mkuu, ya leo ni kama ulivyoyaona.Ngoja waje dsm
Hahahaha.Tayari tumeanza kupokea maneno kutoka kwa wadau wakereketwa walio hudhuria mechi uwanjani.
View attachment 2771771
Ngapi ngapi saa hizi mkuu? Au inashinda kwenye michezo saa moja?Hii game sareee au Yanga inashinda
Oooh goli 5 5 pira gamondindi kipo wapi sasaMm nimeamua, nisile kabisa leo nishinde humu kuwakandia 🤣 🤣 🤣