FT: JKT Tanzania 0-0 Yanga | Meja Generali Isamuhyo stadium | Ligi kuu NBC | 10.2.2025

FT: JKT Tanzania 0-0 Yanga | Meja Generali Isamuhyo stadium | Ligi kuu NBC | 10.2.2025

holoholo

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2023
Posts
1,859
Reaction score
2,986
Mabingwa wa muda wote wa ligi ya Tanzania Bara, Mabingwa watetezi wa ligi kuu msimu huu na vinara wa ligi YOUNG AFRICANS SC watashuka dimbani leo majira ya saa 10 za jioni ugenini kuwakabili JKT TANZANIA katika dimba la Meja Jenerali Isamhyo.

Je, Yanga kuendelea kujichimbia kileleni wa msimamo? usikose kufuatilia mtanange huu wa kukata na shoka, na ambatana nami katika uzi huu kukuletea "updates" mwanzo hadi mwisho wa mchezo huu.

Updates
Dimba ni safi hakuna mvua timu zinaingia uwanjani, yanga wamevaa jezi za njano juu mpaka chini, huku JKT wakivalia jezi za blue juu mpaka chini.

Vikosi vya Timu zote

1739194101629.png

1739194057621.png
First half updates,

JKT Tanzania 0-0 Yanga
1' Mpira umeanza
15' Milango migumu kwa timu zote
21' Mzize anatoaka nje kupata matibabu baada ya kuumizwa Nangu
36' Bado Milango migumu kwa timu zote
38' Mzize anapiga shuti kali na kuishia mikononi mwa mlinda lango

HT: JKT Tanzania 0-0 Yanga
 
Mabingwa wa muda wote wa ligi ya Tanzania Bara, Mabingwa watetezi wa ligi kuu msimu huu na vinara wa ligi YOUNG AFRICANS SC watashuka dimbani leo majira ya saa 10 za jioni ugenini kuwakabili JKT TANZANIA katika dimba la Meja Jenerali Isamhyo.

Je, Yanga kuendelea kujichimbia kileleni wa msimamo? usikose kufuatilia mtanange huu wa kukata na shoka, na ambatana nami katika uzi huu kukuletea "updates" mwanzo hadi mwisho wa mchezo huu.
Kwa kuwa refa wetu, Arachuga, ndiye anasimamia shoo ushindi kwa mwananchi hauna shaka.
 
SIjaumia sana kwani nguvu yangu awali ilikuwa kwenye kuelekea michezo ya CAF. Nitafurahi kama Yanga itaondoka na mabao 4 ila kutokana na kubadilisha makocha haraka haraka, Yanga imeyumba kidogo.
Na leo inatakiwa tucheze kwa tahadhari kubwa,msimu jana tulitoka droo ya bila magoli, japo Guede alielekea kufunga.
 
Kuanzaia sasa hivi hadi mwisho wa ligi Yanga inatakiwa ishinde michezo yote hata kwa bao moja tu japo la penalty. Droo siyo option kwa Yanga tena.
YANGA HAWEZI KUSHINDA MECHI ZOTE HATA IWEJE

SIMBA
TABORA UTD
AZAM
SINGIDA BS
COASTAL UNION
PAMBA AWAY
MASHUJAA AWAY

HAPO LAZIMA UDONDOSHE ALAMA 4.
 
HII MECHI YANGA ATASHINDA TU LABDA JKT WAKATAE HELA ZA YANGA WAAMUE KUCHEZA MPIRA.

LEO JKT WATACHEZA HOVYO HATA PASI MBILI HAWATAPIGA NA WATAFUNGWA 3 AU 4 ILA WANGEKUWA WANACHEZA NA SIMBA MOTO UNGEWAKA WANGEJITUMA MPAKA WAFIE UWANJANI.
 
HII MECHI YANGA ATASHINDA TU LABDA JKT WAKATAE HELA ZA YANGA WAAMUE KUCHEZA MPIRA.

LEO JKT WATACHEZA HOVYO HATA PASI MBILI HAWATAPIGA NA WATAFUNGWA 3 AU 4 ILA WANGEKUWA WANACHEZA NA SIMBA MOTO UNGEWAKA WANGEJITUMA MPAKA WAFIE UWANJANI.
Usiwaonee wivu wenzako. Timu yako ya simba imezipokea hizo pesa mara 4 mfululizo, mbona husemi? Na Mwezi ujao utashangaa mnazipokea tena! Ila kwa JKT, roho inakuuma eti!
 
Back
Top Bottom