FT: JKT Tanzania 0-0 Yanga | Meja Generali Isamuhyo stadium | Ligi kuu NBC | 10.2.2025

FT: JKT Tanzania 0-0 Yanga | Meja Generali Isamuhyo stadium | Ligi kuu NBC | 10.2.2025

Mabingwa watetezi na vinara wa ligi kuu ya NBC, Yanga leo wako uwanjani Meja Jenerali Isamuhyo kumenyana na JKT Tanzania katika mechi ya raundi ya 18

Mechi nyingine muhimu kwa Yanga kuzisaka alama tatu ili kuendelea kujichimbia kileleni mwa msimamo wa ligi

Itakuwa mechi rasmi ya kwanza kwa kocha Miloud Hamdi ambaye alijiunga na Yanga Jumatano iliyopita akichukua mikoba iliyoachwa na Sead Ramovic aliyetimkia Algeria

Leo Yanga itakuwa inasaka ushindi wa kwanza katika uwanja wa Isamuhyo.Wananchi wana kumbukumbu ya kulazimishwa suluhu ya bila kufungana katika uwanja huo msimu uliopita

Hata hivyo dimba la Isamuhyo kwa sasa ni bora na linaruhusu mpira kutembea tofauti na msimu uliopita ambapo mechi iliahirish
umekurupuka,uzi umeunganishwa
 
Mtu anaanzisha uzi hata kutoa updates hawezi,
vikosi mpaka saivi bado
 
HII MECHI YANGA ATASHINDA TU LABDA JKT WAKATAE HELA ZA YANGA WAAMUE KUCHEZA MPIRA.

LEO JKT WATACHEZA HOVYO HATA PASI MBILI HAWATAPIGA NA WATAFUNGWA 3 AU 4 ILA WANGEKUWA WANACHEZA NA SIMBA MOTO UNGEWAKA WANGEJITUMA MPAKA WAFIE UWANJANI.
Yanga na Jkt ni timu ipi Bora? Acha uchawi unajiaibisha!
 
YANGA HAWEZI KUSHINDA MECHI ZOTE HATA IWEJE

SIMBA
TABORA UTD
AZAM
SINGIDA BS
COASTAL UNION
PAMBA AWAY
MASHUJAA AWAY

HAPO LAZIMA UDONDOSHE ALAMA 4.
Na Simba atadondosha alama ngapi? Unaisemea yanga tu vipi Simba!
 
All the best Dar Young Africans...

JKT 0 Yanga 3
[emoji169][emoji172]
 
Back
Top Bottom