FT: JKT Tanzania 0-0 Yanga | Meja Generali Isamuhyo stadium | Ligi kuu NBC | 10.2.2025

FT: JKT Tanzania 0-0 Yanga | Meja Generali Isamuhyo stadium | Ligi kuu NBC | 10.2.2025

T
Aziz Ki afukuzwe kabisa Yanga, kijana kaanza ngono na mapenzi magoti na stamina imekwisha kabisa kazi kupanua mdomo tu uwanjani speed ndogo, afukuzwe haraka sana, afadhali hayuko leo
Timu ilivyocheza Leo dk45 thahili shahili pengo lake linaonekana. Wewe kwani hugongwi? Acha wivuu...Basic needs ya Binadamu Kili ni kugongaa.
 
Mchambuzi Bora Mechi ya Leo. Hakuna anachofanyia zaidi ya kuigeuza Mechi kuwa ya taratibu.
Aje baba Mobeto nae atuoneshe kama katumika kwa kiasi gani na Mobeto. Ile pasi ilikuwa ni goli kwa mtu mwenye spidi ila konokono Chama kashindwa kuitendea haki
 
Back
Top Bottom