Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
YANGA watafungwa leoleo nimekuwahi mkuu,haujaumia? JKT 0 VS 4 YOUNG AFRICANS
Weeeee, Chama anajua huyo balaa, asitoleweChama atolewe mara moja, asirudi tena uwanjani.
Suruhu Hassani leo yupo hapo
Hatuwezi kushinda kama chama atarejea uwanjani.Yanga anashinda
Chama aende nje Aziz ki aingie anapoozesha sana mpiraYanga anashinda
Mbona unaongea kinyonge hivyo kulikoni?Yanga anashinda
Tatizo mpo pole pole Sana kama Mzee chama wa utopolo😀Leo hakuna anayetaka kupigwa BAN ikiwa Yanga itashinda au kushindwa?
Kamweeee haliwezi kutokea hilooooKuna dalili ya draw.
Timu ilivyocheza Leo dk45 thahili shahili pengo lake linaonekana. Wewe kwani hugongwi? Acha wivuu...Basic needs ya Binadamu Kili ni kugongaa.Aziz Ki afukuzwe kabisa Yanga, kijana kaanza ngono na mapenzi magoti na stamina imekwisha kabisa kazi kupanua mdomo tu uwanjani speed ndogo, afukuzwe haraka sana, afadhali hayuko leo
AmenHamna furaha wala huzuni ambayo hudumu milele,mashabiki wa simba,soon mtarejea kwenye furaha yenu.I have said and so shall it be.Amen.
Aje baba Mobeto nae atuoneshe kama katumika kwa kiasi gani na Mobeto. Ile pasi ilikuwa ni goli kwa mtu mwenye spidi ila konokono Chama kashindwa kuitendea hakiMchambuzi Bora Mechi ya Leo. Hakuna anachofanyia zaidi ya kuigeuza Mechi kuwa ya taratibu.
Kati ya aliyempanga Chama na yule aliyemsajili nani boya?Chama aende nje Aziz ki aingie anapoozesha sana mpira
Aziz ataingia😅😅😅Hatuwezi kushinda kama chama atarejea uwanjani.
Boya ni aliyemsajili.Kati ya aliyempanga Chama na yule aliyemsajili nani boya?
Kuna ofa imetolewa na mods ya kuomba ban ikiwa...............Yanga anashinda