Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Huyu ndio Meja Jenerali Mstaafu Isamuhyo, jina la uwanja limeiitwa kwa heshima yake kubwa na utumishi wake uliotukuka jeshini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jkt anataka kulila jitu zima hapa analipapasa kwanza kabla hajaanza kulipelekea motoHuu uwanja upo maeneo gani?
Ndivyo ilivyo kila utopwinyo wanapokutana na timu zisizo na nembo ya GSMNdio maana mechi ngumu leo
Nyie Uto mnataka acheze nani kwani leo?? kila mtu mbayaDube ni mchezaji mpuuzi haswa
Wewe utakua shabiki wa utopolo tulia m yooshweLeo hakuna anayetaka kupigwa BAN ikiwa Yanga itashinda au kushindwa?
Hahahah toka yule jamaa ale ban kwa utani huu, sitaki kutania mods kabisaLeo hakuna anayetaka kupigwa BAN ikiwa Yanga itashinda au kushindwa?
HaahDube naye aende nje, anaruka ruka na kujikanyaga
Ingekua tatu saa hiziNdivyo ilivyo kila utopwinyo wanapokutana na timu zisizo na nembo ya GSM
Leo hakuna anayetaka kupigwa BAN ikiwa Yanga itashinda au kushindwa?
Mimi JKTPole.
1-0 mnakufa leo
Mpigie refa amalize mpiraHuu mpira mbona hauishi