GUSA ACHIA BAHASHA GOLI
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 5,110
- 7,349
Kipindi cha 3 kinaendelea hapa naona chasambi anawatanguliza mbele mwiko nyuma kwa shuti matata sana hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kakonda leo leoPakomwee...View attachment 3232242
Mh,bembelezo.Sijasoma bado allert kipenzi nimeanza huku moja kwa moja...nakuja kaka kipenzi
Sie tulishatulizwa babati nyie vipi huko?😁😁😁Makoloo Tulieni
Kwanza una usingizi, pili huna njaa wewe,Usiseme hivyo😒 ndio napanda kitandani nilale.
Unanichamba?Kwanza una usingizi, pili huna njaa wewe,
Yaani uwe na njaa kweli halafu yanga afungwe ndio ushindwe kula!! Hiyo yanga ni mama yako mzazi? Wacha kujipa umuhimu kwenye vitu vya hovyo mdogo wangu, we yanga hata vyoo vyake vya jangwani hujui unafananaje?
Waiache tu huenda wakapata goli la jioniMods hii game ishaisha ondoeni hiyo logo ya LIVE
Bado tunasubirimtasubiri sana.🤣
Sema kweliunahangaika mkuu,yanga haizuiliki,haishikiki
Kuchamba maana yake nini!?Unanichamba?
Mechi ipi
Mimi kwa hasira nilichukua ten nyingine nikavuta mbususu inifariji mpaka asubuhAcha tuu bora ningekula mbususu
😆Hapo kudondosha alama labda kwa singida tu ila wapumbavu wengine lazima watoke uwanjani chupi mdomoni sigara matakoni
Sina kadiKuchamba maana yake nini!?
Naushitua ubongo huo, una kadi ya yanga?
Hahahaaa ulijuaje mkuu, hii ndio uto halisi bila kuhonga ili timu zicheze chini ya kiwango au ziwapangie vikosi b na c, makamanda wetu ni wazalendo na wana nidhamu hawawezi kubali kuhongwa
Pole sana mkuu, maumivu yake tunayajua wenyewe. Ila nyakati ngumu hazidumuAcha tuu bora ningekula mbususu
Sasa?Sina kadi
Sasa nini?Sasa?
Haka katoto ka chasambi katakuwa kalifunga na kusali sana ili lawama zipungue.Kipindi cha 3 kinaendelea hapa naona chasambi anawatanguliza mbele mwiko nyuma kwa shuti matata sana hapa