FT: Jwaneng Galaxy 0 - 0 Simba | CAFCL | Francistown Stadium | 02.12.2023

Mie nawaona hawana kabisa ile quality ya champions league.
 
Wapewe pongezi zao tu sababu timu inayoatahili kuvuka ni ile inayokusanya point na wamefanya hivyo halafu wanaendelea kufanya.
Pongezi wanastahili tu kama formality lakini sio pongezi za dhati.

Unafikiri ni kwanini Diego Somione pamoja na kuifikisha Atletico Madrid hapo ilipo Leo hii, lakini dunia haimuimbi? Na hayumo hata kwenye orodha ya makocha 10 Bora barani ulaya?

Na pia unadhani ni kwanini dunia inamuongelea sana Roberto De zarbi na wakati ni kocha wa juzi tu hapa??

Football ni zaidi ya kukusanya points na Kisha kuvuka hatua inayofuata mzee
 
Unafinya mara mia tano ya nini sasa? Baleke katukosea hajawa serious pale.
 
Mpaka sasa Simba haijashinda mechi yeyote ya kimataifa ndani ya huu msimu.

Msimu huu neno 'ushindi' umegeka msamiati mgumu kwa Mnyama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…