FT: Jwaneng Galaxy 0 - 0 Simba | CAFCL | Francistown Stadium | 02.12.2023

FT: Jwaneng Galaxy 0 - 0 Simba | CAFCL | Francistown Stadium | 02.12.2023

Line up
Screenshot_20231202_151300_All Football.jpg
 

Match Day
🏆CAF Champion League

⚽ Jwaneng Galaxy vs Simba
🏟️ Francistown Stadium
🗓️ 02.12.2023
⏰ 1600hours (EAT)

Kikosi cha Jwaneng' Galaxy kinachoanza.
View attachment 2831454

Kikosi cha Simba Kinachoanza
View attachment 2831455
All the Best Mnyama.

Updates...
Sasa ni Saa Tisa na Dakika 25 Alasiri.
Hali ya hewa ya Dar es Salaam ni ya joto kidogo, maeneo mengi yana mawingu ya hapa na Pale...

Zimebaki dakika 34' tu kipute hiki kianze.
Huko FrancisTown Stadium.



#Nguvumoja#...
😂😂😂😂
 
Mechi ya leo inaenda kunipa tathmini ya nini kilichojadiliwa kwenye vile vikao.

Ikiwa kweli kama inavyosemwa kuwa Kocha hatoingiliwa majukumu basi tutaenda kushuhudia challenge mpya ya wachezaji kugombania namba.

Na ile mikataba ya kibepari mchezaji anasaini kwa sharti la kuwa awe anacheza dakika zote 90 waiangalie upya.

Kuna dhana ya utegevu na ubwetekaji wa kimakusudi ambayo inaweza kuzaliwa kutoka kwa mchezaji kwasababu ya kulindwa na mkataba.

Performance ya mechi hii ikiwa low basi ni kweli hatujafanya sajili na tunatakiwa kufanya maboresho dirisha dogo.
 
Tumebakisha Dakika 19'

Hali ya hewa huko Botswana ni nzuri kabisa.

Hali ya Wachezaji ni nzuri.

Tuna imani na Timu yetu
 
Mechi ya leo inaenda kunipa tathmini ya nini kilichojadiliwa kwenye vile vikao.

Ikiwa kweli kama inavyosemwa kuwa Kocha hatoingiliwa majukumu basi tutaenda kushuhudia challenge mpya ya wachezaji kugombania namba.

Na ile mikataba ya kibepari mchezaji anasaini kwa sharti la kuwa awe anacheza dakika zote 90 waiangalie upya.

Kuna dhana ya utegevu na ubwetekaji wa kimakusudi ambayo inaweza kuzaliwa kutoka kwa mchezaji kwasababu ya kulindwa na mkataba.

Performance ya mechi hii ikiwa low basi ni kweli hatujafanya sajili na tunatakiwa kufanya maboresho dirisha dogo.
Naunga mkono hoja
 
Back
Top Bottom