Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Four minutes to go
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lini mtakuwa na form?Haya jwanex aisee yaani wapo kwao lakin mpira haueleweki hapo wanacheza na simba ambayo bado haipo kwenye form
Hii siwez jibu asaivi mpaka mechi zote ziishe, kwenye kufuzu world cup 2022 Tanzania tuliongoza hadi kundi mechi 2 za mwanzo ila baada ya hapo si ndio tukawa wa mwishoMbona inaongeza kundi na wenye quality hawapo kileleni ?..
Mpira ni matokeo.
Na bado wakaifunga Wydad iliyo kwenye form away! Mpira ni kitu cha ajabu sanaHaya jwanex aisee yaani wapo kwao lakin mpira haueleweki hapo wanacheza na simba ambayo bado haipo kwenye form
Mi sio simba kijana nitake radhi, na hapo sijaleta ushabikiLini mtakuwa na form?
Siwezi kukwambia wafanye hivi au wafanye vile... Ila tu ni kwamba hawa wamefika hapa kutokana na ubovu na uzembe wa timu walizokutana nazo hapo awali, na kama tunawapa pongesi basi tunawapa kutokana na ubutu wa forward za timu pinzani walizokutana nazo.Mkuu, ulitaka hao galaxy wafanyaje na wameingia kwenye makundi?
Ifungen sasaHii timu imefikaje champion league?
Saa 1 mtapatwaJwaneng tumekoswa hapa
AaahaaaaSaa 1 mtapatwa
Walikuwa wanaona yanga anamtia mtu 5 wanadhani kazinrahisiMpaka sasa Simba haijashinda mechi yeyote ya kimataifa ndani ya huu msimu.
Msimu huu neno 'ushindi' umegeka msamiati mgumu kwa Mnyama.
Hakuna timu iliyofungwa bro mbona mgumu kuelewa, mi naongea kiwango na mpira wanaoonesha sio wa kiwango hichoNa bado wakaifunga Wydad iliyo kwenye form away! Mpira ni kitu cha ajabu sana
Habari ndio hiyoAaahaaaa