We mwenzetu mwenye timu nzuri si ulikuwemo humu! Sasa kimekushinda nini mpaka kukalia umbea,,, we tulia wanaume wakupambanie mwakani upande tena ndegekabisaa mkuu bora tushangalie wabotswana
hawa makolo wana timu mbovu mpaka wanatia kichefuchefu kuwaangalia
yamejaa majina tu timu haina muunganiko wanabutuabutua tu mpira kama wachezaji wa faru dume
sijui kwa nini hawajifunzi kucheza mpira mzuri kama yanga
nyie mapaka fc hebu jifunzeni kwa yanga wanacheza kama brazil ile ya kina vava garicha na pele unapata raha kuwatazama
MK au nani?Gooooooooooooooooooooooooooooaaaal S.S.C 1 Jwaneng 0.
MK au nani?
Safi san.Bocco
Nani tena kafunga?Me Pili goooooooooooal
Nani tena kafunga,Simba leo goli 40.Lingine[emoji23][emoji23][emoji23]