FT: Jwaneng Galaxy 0 Simba SC 2

Hawa jamaa wazembe sana. Hawajui ku defend corners. Magoli mawili yanayofanana.
 
Piga galaxy haoooo fumua fumua betri
 
Heri mkuu!!?
 
Nipo uwanjani hapa katika mji wa Gaborone-Uwanja wa Taifa

Benchi la ufundi la simba wanaroga sana kwa kumwaga kama unga flani hivi kwenye nyasi za uwanja

Huu uchawi wao ukikubali, wanaweza kushinda hii game
Aliyekuambia unga ni uchawi nani?

Mbona tungeiona azam ikichukua back to back mara 4
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…