Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
- Thread starter
- #181
Hawa jamaa wanachelewesha sana mda 😁😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana huwa najiuliza hivi hizi timu kuna Kazi nyingine wanafanya zaidi ya mpira? Kwanini wanashindwa kung'amua mitego midogo midogo wanapocheza na timu kubwa? Kwa mfano, kupoteza muda halijawahi kuwa mbinu bora kwa miaka hii maana zitaongezwa zaidi ya zinazopotezwa.Hapa ndio Hivi vilabu vidogo huharibu.Watu mmewaelemea badala muendelee kuwapelekea pumzi ya moto mnarudi nyuma na kupoteza muda.
Hawa jamaa wanazingua sanaEndelea kuvumilia japo inauma
Nani kafungaGoalllll
Kapona?Okra Magic
MetachaNani kafunga
Wachezaji wa Kagera Suger wamelala dakika 100 nasahihisha rekodi.Mpira umechezwa Dakika 100.
Naweka Record.
Dakika ya ngapi?Mbona mtangazaji hana raha?
Vip ulibet nn kijana.... UTO kam UTODah nimeingia hasara kubwa sana
Shida hata Yanga apoteze pointi vipi..Sina Imani kabisa na timu yangu ya Simba ScYanga wahini Kigoma kuroga ili Simba kesho ifungwe