FT: Kagera sugar FC 0-0 Yanga SC | NBC premier League | Kaitaba stadium | 02.2.2024

FT: Kagera sugar FC 0-0 Yanga SC | NBC premier League | Kaitaba stadium | 02.2.2024

Ni sare ambayo Gamondi kaitaka kwa selection yake mbovu ya wachezaji kipindi cha kwanza. Mzize, Faridi na Max wamekuwa na viwango vibovu. Aendelee tu kumkumbatia huyo Mzize wake atavuna anachotaka.
 
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
20240121_163139.jpg
 
Ni sare ambayo Gamondi kaitaka kwa selection yake mbovu ya wachezaji kipindi cha kwanza. Mzize, Faridi na Max wamekuwa na viwango vibovu. Aendelee tu kumkumbatia huyo Mzize wake atavuna anachotaka.
Acha kumsema sema mtoto mzize bado kinda sana ana miaka 20 tu mbona anajitahidi sana
 
Back
Top Bottom