thetowerofbabel
JF-Expert Member
- Jul 17, 2010
- 266
- 360
Ukisikia ukuma ndo huu sasa!!Goalllll
Uliibetia Yanga?Dah nimeingia hasara kubwa sana
ππDah nimeingia hasara kubwa sana
Huyu amezidiNi sawa na ya tatu Malongo
Naunga mkono hojaNi sare ambayo Gamondi kaitaka kwa selection yake mbovu ya wachezaji kipindi cha kwanza. Mzize, Faridi na Max wamekuwa na viwango vibovu. Aendelee tu kumkumbatia huyo Mzize wake atavuna anachotska.
FT 0-0Dakika ya ngapi?
Mbona unaandik kwa masikitiko hivi...Ni sare ambayo Gamondi kaitaka kwa selection yake mbovu ya wachezaji kipindi cha kwanza. Mzize, Faridi na Max wamekuwa na viwango vibovu. Aendelee tu kumkumbatia huyo Mzize wake atavuna anachotaka.
Ni 0-0 FtToeni majib ya uhakka jaman
Nimetoa mawazo yangu, hata wewe hujazuiwa kuandika kwa furahaMbona unaandik kwa masikitiko hivi...
Heee kafanyaje tena,Si juzi juzi kapiga hat trick akiwa na mimacho myekundu?Ni sare ambayo Gamondi kaitaka kwa selection yake mbovu ya wachezaji kipindi cha kwanza. Mzize, Faridi na Max wamekuwa na viwango vibovu. Aendelee tu kumkumbatia huyo Mzize wake atavuna anachotska.
Leteni jina la REFA tuanze kutengeneza Meme za Mbeleko aliyowapa Utopolo
Eti Skudu amegusa mpira?πππππππππππππππππ
View attachment 2891982
Acha kumsema sema mtoto mzize bado kinda sana ana miaka 20 tu mbona anajitahidi sanaNi sare ambayo Gamondi kaitaka kwa selection yake mbovu ya wachezaji kipindi cha kwanza. Mzize, Faridi na Max wamekuwa na viwango vibovu. Aendelee tu kumkumbatia huyo Mzize wake atavuna anachotaka.