Mrao keryo
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 1,901
- 2,566
Ni sawa na ya tatu MalongoNadhani makosa ya kibinadum unayaona sasa hivi
Yule kipa wao mwingine hayupo?METACHA HANA TOFAUTI NA AYUBU SEMA KAGERA HAJAMJULIA TU.
METACHA NI MOJA KATI YA MAKIPA WAZEMBE TU.
π€£πYule kipa wao mwingine hayupo?
Inamaana Yanga haina mbadala wa Diarra?
Bado hamjasemaTimu haina match fitness dah
Na iendelee kupoaMechi imepoa
πππππππDakika ya 71 bado ni 0-0
sanaaaaaa sema haiifikii ile ya 5~1Inachekesha sana
Sana dear...mfungwe hata moja ichangamke...Mechi imepoa
6 -0 unaikumbuka wewe?sanaaaaaa sema haiifikii ile ya 5~1
Gude Boy hachezi?sanaaaaaa sema haiifikii ile ya 5~1
Depotivo de utopolo π€£ππHapa ni wapii???
tulia kijana, tunataka piga mtu hapaGude Boy hachezi?