Basi nimechanganya mafaili.Mali anacheza kesho
Wanachelewesha sana mda Hawa jamaaMbona maji yanazidi unga sasa itakuwaje jamani?
Hivi anapata namba huko AFCON?Wafungwe tu hao uto,na Diara akitoka afcon ananyoosha Europe moja kwa moja
Ngoja tusubiri tuoneMbona maji yanazidi unga sasa itakuwaje jamani?
Timu mbovu saana hii, hamfiki popoteMbona maji yanazidi unga sasa itakuwaje jamani?
hapa ilifaa ziongezwe 10Huyu kipa wa Kagera anachelewesha sana mda huyu
Kabisahapa ilifaa ziongezwe 10
Hapa ndio Hivi vilabu vidogo huharibu.Watu mmewaelemea badala muendelee kuwapelekea pumzi ya moto mnarudi nyuma na kupoteza muda.Yanga watapata goli dakika chache zijazo. Kagera wameanza kumuudhi Mungu maana hajwahi kumpendelea anayepoteza muda. After all, refa anatafuta kila njia Yanga ishinde.
PoleDah Laki yangu ndo inaenda kweli au naota [emoji22]...????
Yanga acheni us*ng*
Endelea kuvumilia japo inaumaHuyu kipa wa Kagera anachelewesha sana mda huyu
Naona kama injinia anarekebisha mambo vile. Dk ya mwisho lazima Yanga tupate goliHapa ndio Hivi vilabu vidogo huharibu.Watu mmewaelemea badala muendelee kuwapelekea pumzi ya moto mnarudi nyuma na kupoteza muda.