Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Litimu lenu halina mbinuKwahiyo GSM hajatowa bahasha?
Sasa Kagera wakifungwa na Simba watasema timu mbovu. Kama Simba walivyoifunga Tabora United walisema mbovu.Wanetu Utopolo wako hoiiiπ€£π€£π€£
Nasikia mchezaj wa kagera kaomba sub ya jezi mpya, ile imeharatuka, chama hajakata kucha, zipo kama za pakaChama kaamua kuvuta nguo watoto wake sijui tuseme wadogo zake.
Mimi ni mimi, huwa siangalii mtu anacomment nini ili nifuate mkumbo.ππππ
Mshaanza Propaganda zenu... Hebu pitia komenti za uto wenzako hapo juu.
Wakati wanakupiga kono la nyani walitumia mbinu gani?Litimu lenu halina mbinu
Tutawapiga 5 hawa π€£π€£π€£π€£ππππ
Mshaanza Propaganda zenu... Hebu pitia komenti za uto wenzako hapo juu.
Sawa injinia. Muhasibu OKW BOBAN SUNZU njoo usome komenti ya Injinia.Mimi ni mimi, huwa siangalii mtu anacomment nini ili nifuate mkumbo.
Mimi napenda ligi ya ushindani timu zetu zinakwenda kwenye mechi za kimataifa lazima zipate upinzani wa kutosha nyumbani na unapochukuwa ubingwa unajisikia raha kweli una timu bora.
Simba atachoambulia hapo Kaitaba ni sare. Akijitahidi kipigo.Sasa Kagera wakifungwa na Simba watasema timu mbovu. Kama Simba walivyoifunga Tabora United walisema mbovu.
This is Kaitaba π€£π€£Wakati wanakupiga kono la nyani walitumia mbinu gani?
Ila viwango mnavyojikuta leo ilitakiwa mshinde goli 7.Ulitaka mechi ya upande mmoja? Tusipokuwa na ligi ya ushindani kimataifa tutamfunga nani?
Huyo amekoma, uzi wake tunamfufulia kaburi tu.Sawa injinia. Muhasibu OKW BOBAN SUNZU njoo usome komenti ya Injinia.
"Wanavyo defend"Hawa jamaa nimewakubali wanavyo defense.
Tayari matokeo mnayo... Nyie uto mnajioooona.Simba atachoambulia hapo Kaitaba ni sare. Akijitahidi kipigo.
Asante wenye kingereza chenu."Wanavyo defend"