uberimae fidei
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 2,679
- 4,283
Moja ya mechi ngumu tatu kwa yanga hii,bado zitabaki mbili,nyingine zote mteremko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna sehemu nimesema magoli siyo muhimu, nimesema tunataka point 3, zamu yenu inakuja tutawafikia tu kuna point 6 zetu zipo kwenu.Ila viwango mnavyojikuta leo ilitakiwa mshinde goli 7.
Halafu usiseme magoli siyo muhimu na wakati Azam walipata nafasi kucheza champions league CAF kwasababu ya kwazidi Simba kwa magoli ya kufunga.
Eti eenh!!??Hakuna sehemu nimesema magoli siyo muhimu, nimesema tunataka point 3, zamu yenu inakuja tutawafikia tu kuna point 6 zetu zipo kwenu.
Refa kapewa bahasha...😀😛😛Amezuiliwa kwenye njia mchezaji wetu
Yameanza makosa ya marefa 🤣 🤣 🤣 🤣Amezuiliwa kwenye njia mchezaji wetu
Weeeeee apia 🤣🤣🤣🤣Naombea yanga afungwe