FT: Kagera sugar FC 0-2 Yanga SC | NBC Premier League | Kaitaba Stadium | 29.08.2024

FT: Kagera sugar FC 0-2 Yanga SC | NBC Premier League | Kaitaba Stadium | 29.08.2024

Utakutana nao hao uwanja huo huo, unacheza na timu wachezaji watano hawana vibali unajiona una timu. Utakuja huku mimi na malizana nao. Mpaka mwezi wa kumi mtaanza kuzikumbuka bil 20 zenu.
Kuna msimu, KOLOZ walienda KAITABA halafu walisingizia wachezaji wao eti wanaumwa wote. Wakasepa bila kucheza mechi

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
ndugu yangu endelea kununa tu ila kaa ukijua yanga bingwa vamos yellow natinal sisi ndio yanga sc watoto wa JANGWANI YANGA BINGWA
 
Mlikuwa mnapumulia juu juu sasa ndiyo sauti zinatoka!
Tushamalizana nao leo ila mtakuja hapa. Mnacheza na timu ambazo wachezaji wao muhimu zaidi ya 5+ hawana vibali mnajiona watu wa maana. Mtakuja hapa na kuanza kuzikumbuka bil 20 zenu.
 
Aya uyu Kagera Sugar tumemlaliza kama akiinuka tinamshindilia mijigumi.

NANI ANAFATA??🤨
20240809_155223.jpeg
 
Back
Top Bottom