900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 7,704
- 9,186
simba bingwaHuo ndio ukweli hakuna alichokuwa anafanya uwanjani zaidi ilikuwa kupoteza mpira
Kanikera saana
Wewe si ni shabiki hata vitu vya hovyo kazi kwako
Leo kaniboa saana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
simba bingwaHuo ndio ukweli hakuna alichokuwa anafanya uwanjani zaidi ilikuwa kupoteza mpira
Kanikera saana
Wewe si ni shabiki hata vitu vya hovyo kazi kwako
Leo kaniboa saana
Punguza ushabiki wa vitu hata vya hovyokwenye kibanda umiza kasika mzee mmoja akisema ungeingia wewe
Hapa umeandika nini mkuu? Au ndiyo hizi smartphone na typing errors?5imsugar
Mm sio SIMBA bali mwanachama hai wa YANGAsimba bingwa
Simba kagera sugarHapa umeandika nini mkuu? Au ndiyo hizi smartphone na typing errors?
Kocha alipaswa ampumzishe kipindi cha kwanza tuSasa ww ulitaka afanye nini?
Kwani kipindi cha pili Yanga ilizidiwa wapi.......? Sababu hata walio ingia hawa kuleta mabadiliko makubwa.......Kocha alipaswa ampumzishe kipindi cha kwanza tu
Badala yake kamaliza dakika 90 za nyongeza ndio akatolewa
hayo ni yako na uanachama wako,ungeingia wewe,vi2 hata hakuna rahaPunguza ushabiki wa vitu hata vya hovyo
Mm sio shabiki tu wa YANGA bali ni mwanachama hai , tambua hilo
kwahiyo mmekamiwa, wakati kagera walikuwa wangonga tu one touch short passessHawa Kagera sugar wanavyoikamiaga Yanga utadhani wameambiwa wakimfunga Yanga wanachukua ubingwa😃 haya ngoja tuone kama wataendelea hivi na Tabora utd
Kuna interview moja baada ya mechi Mwinyi Zahera aliulizwa na mwandishi aliyeuliza "mbona Yanga inashinda kwa tabu sana.", nae akamjibu, "Mule ndani hatuchezi na Wanawake, tunacheza na Wanaume.".Benchi la ufundi wajithamini hii mechi tume underperfome sana yanii
AZIZI KI NI TAKATAKA KABISA
LEO HAKUNA ALICHOKUWA ANAKIFANYA UWANJANI JAPOKUWA KATOKA NA ASSIST
Mangungu akiona hizi posts zenu anashusha presha anajua uhakika wa kuendelea madarakani upo.Nibebe…Nibebe…Nibembeleze…NibebeView attachment 3082239
Yale yale umebakwa lakini kwa mbinde.Mlikuwa mnapumulia juu juu sasa ndiyo sauti zinatoka!
Mwezi uliopita timu ya Roma ilimualika mazoezi shabiki aliyecomment pale straika ilibifi aupige hivi, mbona rahisi tu.AZIZI KI NI TAKATAKA KABISA
LEO HAKUNA ALICHOKUWA ANAKIFANYA UWANJANI JAPOKUWA KATOKA NA ASSIST
lione hili nyau linaonekana lilivyokua toto lilikua linatokwa namakamasi mengisanaLigi Kuu ndio inaanza leo sasa, yale mabolizozo yalikuwa yanacheza bonanza la ufunguzi wa ligi.
umeandika utumbo gani hapa?Mwezi uliopita timu ya Roma ilimualika mazoezi shabiki aliyecomment pale straika ilibifi aupige hivi, mbona rahisi tu.
Basi wakatengeneza move kama ile wakamuacha afunge. Ile clip inachekesha sana.