900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 7,704
- 9,186
endelea kutesekandugu yangu endelea kununa tu ila kaa ukijua yanga bingwa vamos yellow natinal sisi ndio yanga sc watoto wa JANGWANI YANGA BINGWA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
endelea kutesekandugu yangu endelea kununa tu ila kaa ukijua yanga bingwa vamos yellow natinal sisi ndio yanga sc watoto wa JANGWANI YANGA BINGWA
Siyo kupunguza ndo uwezo wa timu ulipoishiaNimepunguza 2
Acha dharau we kibibiLigi Kuu ndio inaanza leo sasa, yale mabolizozo yalikuwa yanacheza bonanza la ufunguzi wa ligi.
Acha dharau we kibibiLigi Kuu ndio inaanza leo sasa, yale mabolizozo yalikuwa yanacheza bonanza la ufunguzi wa ligi.
Wewe ndio unateseka ndugu kwa sababu nilikupiga 5endelea kuteseka
Naunga mkono hojaephen_ Vincenzo Jr yanga bigwaa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Unazo? Au umebana za mtu hapo😅
Tatizo marafiki zangu wengi wa yanga ,wakifurahi na mimi nafurahi ila. Kwa upande wa uto napenda wapigwe tu 😜🤣🤣🤣🤣🤣🤣
zilipendwa hakuna jipya,ulishawahi gongwa 6Wewe ndio unateseka ndugu kwa sababu nilikupiga 5
Mna bahati sana, tumewapa 5imba 1 na hao walamba sukari 1Tatizo marafiki zangu wengi wa yanga ,wakifurahi na mimi nafurahi ila. Kwa upande wa uto napenda wapigwe tu 😜
😁😁😁😁 kaone
Acha gubu.AZIZI KI NI TAKATAKA KABISA
LEO HAKUNA ALICHOKUWA ANAKIFANYA UWANJANI JAPOKUWA KATOKA NA ASSIST
kwenye kibanda umiza kasikika mzee mmoja akisema ungeingia weweAZIZI KI NI TAKATAKA KABISA
LEO HAKUNA ALICHOKUWA ANAKIFANYA UWANJANI JAPOKUWA KATOKA NA ASSIST
Sasa ww ulitaka afanye nini?AZIZI KI NI TAKATAKA KABISA
LEO HAKUNA ALICHOKUWA ANAKIFANYA UWANJANI JAPOKUWA KATOKA NA ASSIST
Huo ndio ukweli hakuna alichokuwa anafanya uwanjani zaidi ilikuwa kupoteza mpiraAcha gubu.