Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Sema leo wamekaa kooni..... Tumebana pmb yani ehuuuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pamoja na kuongoza 2-0?Benchi la ufundi wajithamini hii mechi tume underperfome sana yanii
Wewe ndio mjinga kama ulijiaminisha Kagera anaweza kuizuia Yanga isiondoke na point 3.Watoto wajinga sana.
Wapi panawasha nikukune🙄Mmeshinda lakini hamna furaha
hhhMzize ni kama gari limewaka, natengua kauli ya kumtaka aondoke.
Tumpe muda.
Pumbu unabania wapi?😀😀Sema leo wamekaa kooni..... Tumebana pmb yani ehuuuu
😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹Pumbu unabania wapi?😀😀
Utakutana nao hao uwanja huo huo, unacheza na timu wachezaji watano hawana vibali unajiona una timu. Utakuja huku mimi na malizana nao leo. Mpaka mwezi wa kumi mtaanza kuzikumbuka bil 20 zenu.Yanga hii ya kawaida sana ila mbeleko za waamuzi zinawaweka mjini
dua lakukuWameshinda kwa wizi. Makosa ya marefa 🤣 🤣 🤣
Nimepunguza 2Unaangalia marudio au
Mzize anazidi kuimarika kila iliyo leo, amefanyia kazi makosa yake mengi. Atakuwa hatari zaidi ya hapa.Mzize ni kama gari limewaka, natengua kauli ya kumtaka aondoke.
Tumpe muda.