Jobless_Billionaire
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 3,106
- 8,101
Lolote baya liwakute uto wakubwa nyie 😡
Umeandika lakini kauli yako inaonyesha ina woga wa kutosha. Anyway, dua zako sijui kama zitafanikiwaLolote baya liwakute uto wakubwa nyie 😡
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lolote baya liwakute uto wakubwa nyie 😡
Umeandika lakini kauli yako inaonyesha ina woga wa kutosha. Anyway, dua zako sijui kama zitafanikiwaLolote baya liwakute uto wakubwa nyie 😡
Kabisa. Hata kwenye vibanda umiza kulilala. Leo naona mabango yamechangamkaLigi Kuu ndio inaanza leo sasa, yale mabolizozo yalikuwa yanacheza bonanza la ufunguzi wa ligi.
Kachambue mchele tu mkuu, huku sio maeneo yakoKiuchambuzi bila upendeleo technically sioni yanga akipata ushindi leo
Hujaelewa nachotaka mi siuzi wala kununua dola nataka kujua bei ya mtaa ilivyo ili nifanye maamuziWale wa mchongo kimbia bank fasta tu wanakupa pesa yako ya kibongo
We nitumie ubao wa bureau yoyote hapo jijini kwenu mengine niachieUsithubutu watakupa hela ndogo ndugu
sawa watatoka 1:1Nafanya kazi Kagera sugar ila kesho nipo yanga.
Huyu Azam naye ni kama makampuni ya kinyonyaji ya simu.unapandisha vifurushi bila kujali hali ya watanzania ikoje.unakamua maskini mpaka wanashindwa hata kujikimu halafu mnajinasibu eti ni wacha Mungu mcha Mungu anawabia wananchi maskini!🔰𝐌𝐀𝐓𝐂𝐇 𝐃𝐀𝐘🔰
🏆 #NBCPremierLeague
⚽️ Kagera sugar FC🆚Yanga SC
📆 29.08.2024
🏟 Kaitaba Stadium
🕖11:00 jioniView attachment 3081842
Kwa kweli ligi ndo inaanza.Ligi Kuu ndio inaanza leo sasa, yale mabolizozo yalikuwa yanacheza bonanza la ufunguzi wa ligi.
Mbona umeandika huku unatetemekaKagera pigeni hao vijana wa jangwani 🐸🐸🐸🐸🐸
Mtaani kwangu kigamboni mie naendaga bank ya Crdb tu cheki viwango vya Leo tarehe 29 hapa chiniWe nitumie ubao wa bureau yoyote hapo jijini kwenu mengine niachie
Kabisa kabisa.LIGI KUU inaanza rasmi baadae, ushauri wa bure kwa vilabu vyote vinavyoshiriki NBC PL ni kuacha kuzifananisha timu zao na Yanga. Mkianza kuwafananisha akina Diarra, Job, Aucho, Maxi, Paccome, Ki, Chama, Dube na wachezaji wengine mtaishia kufukuza kila kocha. Tengenezeni timu zenu. Cc Shadeeya Carleen ephen_ Bantu Lady adriz Mr Q kiwatengu Nifah View attachment 3081736
Kila la kheri timu ya makombe🔰𝐌𝐀𝐓𝐂𝐇 𝐃𝐀𝐘🔰
🏆 #NBCPremierLeague
⚽️ Kagera sugar FC🆚Yanga SC
📆 29.08.2024
🏟 Kaitaba Stadium
🕖11:00 jioniView attachment 3081842
Hivi wachezaji walioitwa kwenye timu zao za nchi.. Watakosa mchezoni leo?Mtaani kwangu kigamboni mie naendaga bank ya Crdb tu cheki viwango vya Leo tarehe 29 hapa chini
forex
Established in 1996, is a full-fledged commercial bank with four subsidiaries: CRDB Bank Burundi (S.A), CRDB Bank DR Congo S.A, CRDB Insurance Company, and CRDB Foundation.crdbbank.co.tz
Asante sana kijana mzuriMtaani kwangu kigamboni mie naendaga bank ya Crdb tu cheki viwango vya Leo tarehe 29 hapa chini
forex
Established in 1996, is a full-fledged commercial bank with four subsidiaries: CRDB Bank Burundi (S.A), CRDB Bank DR Congo S.A, CRDB Insurance Company, and CRDB Foundation.crdbbank.co.tz