Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
- Thread starter
- #61
Hapana Leo watakuwepoHivi wachezaji walioitwa kwenye timu zao za nchi.. Watakosa mchezoni leo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana Leo watakuwepoHivi wachezaji walioitwa kwenye timu zao za nchi.. Watakosa mchezoni leo?
Saivi matawi yapo mengi sana mpaka 51mba ni tawiHili sio tawi lao.
SahiiLigi Kuu ndio inaanza leo sasa, yale mabolizozo yalikuwa yanacheza bonanza la ufunguzi wa ligi.
Watacheza kwasababu bado hawatawanyika kwenda makambiniHivi wachezaji walioitwa kwenye timu zao za nchi.. Watakosa mchezoni leo?
Mvua inanyesha Kagera?Mvua inayoendelea kunyesha, inaweza kupunguza ubora wa mchezo
Watachana mkeka wangu aisee nitalia sana 😁😂😂😂Naona droo mtani..... Vincenzo Jr
😁😂😂😂Tangu nianze kuingalia Simba hii ikicheza sina hamu ya kuangalia timu za wazee tena ..Timu mboga mboga haina mvuto...
Timu inayokuchakaza kila ukikutana nayo, itakuwaje na mvuto kwako? Sana sana itakuongezea sonona tu.Tangu nianze kuingalia Simba hii ikicheza sina hamu ya kuangalia timu za wazee tena ..Timu mboga mboga haina mvuto...
Jitahidi Kupunguza Kisukari hicho kitakumaliza mapema kama unadili na mambo madogomadogo kama hayoHuyu Azam naye ni kama makampuni ya kinyonyaji ya simu.unapandisha vifurushi bila kujali hali ya watanzania ikoje.unakamua maskini mpaka wanashindwa hata kujikimu halafu mnajinasibu eti ni wacha Mungu mcha Mungu anawabia wananchi maskini!
Aisee haina mvuto kabisa kwa sasa..kila umaanisha nini kila...Timu inayokuchakaza kila ukikutana nayo, itakuwaje na mvuto kwako? Sana sana itakuongezea sonona tu.
Umetandikwa mara tatu mfululizo itakupaje mvuto timu inayokunyima furaha mara tatu mfululizo? Hakuna adui anayevutia hata siku moja.Aisee haina mvuto kabisa kwa sasa..kila umaanisha nini kila...
Kimbilio la waachwa na Simba...
Usilazimishe mambo mzee...mimi hata mngetutandika mara 6...hii ni kama mnalipiza tuu huko nyuma mlivyopokea vipigo heavy ambavyo hamjavunja rekodi yake..mmebakia kuunganisha magoli ya mechi 3...ushamba wa hali ya juu...Yanga imedodaaa...haina mvuto..mvuto umeisha msimu uliopita..usinilazimishe..Umetandikwa mara tatu mfululizo itakupaje mvuto timu inayokunyima furaha mara tatu mfululizo? Hakuna adui anayevutia hata siku moja.
Kama kawaida mbumbumbu wakisikia unazungumzia goli 5 wanatoa povuuuu🤣🤣🤣🤣Usilazimishe mambo mzee...mimi hata mngetutandika mara 6...hii ni kama mnalipiza tuu huko nyuma mlivyopokea vipigo heavy ambavyo hamjavunja rekodi yake..mmebakia kuunganisha magoli ya mechi 3...ushamba wa hali ya juu...Yanga imedodaaa...haina mvuto..mvuto umeisha msimu uliopita..usinilazimishe..
Mbona anatokwa povu? Mwambie aseme nani amelalwa vya kutosha tangu waanze kukutanaKama kawaida mbumbumbu wakisikia unazungumzia goli 5 wanatoa povuuuu🤣🤣🤣🤣
via hiyo miwani utaona tano zilivyosimama..Naona droo mtani..... Vincenzo Jr
Maumivu ya kipigo cha miaka 20 iliyopita haiwezi kuwa sawa na anayepitia maumivu ya sasa. Hiyo unayosema pengine mwanao hakuwahi kushuhudia ila kinachojili kwasasa kaona live. Historia inabaki kuwa historia tu kama historia ina maana basi kachukue yale magoli na zile point za historia ziwaongezee kwenye msimamo wa ligi kuu.Usilazimishe mambo mzee...mimi hata mngetutandika mara 6...hii ni kama mnalipiza tuu huko nyuma mlivyopokea vipigo heavy ambavyo hamjavunja rekodi yake..mmebakia kuunganisha magoli ya mechi 3...ushamba wa hali ya juu...Yanga imedodaaa...haina mvuto..mvuto umeisha msimu uliopita..usinilazimishe..