FT: Kagera sugar FC 0-2 Yanga SC | NBC Premier League | Kaitaba Stadium | 29.08.2024

FT: Kagera sugar FC 0-2 Yanga SC | NBC Premier League | Kaitaba Stadium | 29.08.2024

Huyu Azam naye ni kama makampuni ya kinyonyaji ya simu.unapandisha vifurushi bila kujali hali ya watanzania ikoje.unakamua maskini mpaka wanashindwa hata kujikimu halafu mnajinasibu eti ni wacha Mungu mcha Mungu anawabia wananchi maskini!
Jitahidi Kupunguza Kisukari hicho kitakumaliza mapema kama unadili na mambo madogomadogo kama hayo
 
Timu inayokuchakaza kila ukikutana nayo, itakuwaje na mvuto kwako? Sana sana itakuongezea sonona tu.
Aisee haina mvuto kabisa kwa sasa..kila umaanisha nini kila...
Kimbilio la waachwa na Simba...
 
Aisee haina mvuto kabisa kwa sasa..kila umaanisha nini kila...
Kimbilio la waachwa na Simba...
Umetandikwa mara tatu mfululizo itakupaje mvuto timu inayokunyima furaha mara tatu mfululizo? Hakuna adui anayevutia hata siku moja.
 
Umetandikwa mara tatu mfululizo itakupaje mvuto timu inayokunyima furaha mara tatu mfululizo? Hakuna adui anayevutia hata siku moja.
Usilazimishe mambo mzee...mimi hata mngetutandika mara 6...hii ni kama mnalipiza tuu huko nyuma mlivyopokea vipigo heavy ambavyo hamjavunja rekodi yake..mmebakia kuunganisha magoli ya mechi 3...ushamba wa hali ya juu...Yanga imedodaaa...haina mvuto..mvuto umeisha msimu uliopita..usinilazimishe..
 
Kila la kheri chama langu Young africans sc 💛💚💛💚💛💚💛💚💚💚💚💚💛💛💛💛💛




#DaimaMbele 💛 #NyumaMwiko💚
 
Usilazimishe mambo mzee...mimi hata mngetutandika mara 6...hii ni kama mnalipiza tuu huko nyuma mlivyopokea vipigo heavy ambavyo hamjavunja rekodi yake..mmebakia kuunganisha magoli ya mechi 3...ushamba wa hali ya juu...Yanga imedodaaa...haina mvuto..mvuto umeisha msimu uliopita..usinilazimishe..
Kama kawaida mbumbumbu wakisikia unazungumzia goli 5 wanatoa povuuuu🤣🤣🤣🤣
 
Moja ya Mechi Ngumu kwetu Mbogamboga ngoja tuone ila.
 
Usilazimishe mambo mzee...mimi hata mngetutandika mara 6...hii ni kama mnalipiza tuu huko nyuma mlivyopokea vipigo heavy ambavyo hamjavunja rekodi yake..mmebakia kuunganisha magoli ya mechi 3...ushamba wa hali ya juu...Yanga imedodaaa...haina mvuto..mvuto umeisha msimu uliopita..usinilazimishe..
Maumivu ya kipigo cha miaka 20 iliyopita haiwezi kuwa sawa na anayepitia maumivu ya sasa. Hiyo unayosema pengine mwanao hakuwahi kushuhudia ila kinachojili kwasasa kaona live. Historia inabaki kuwa historia tu kama historia ina maana basi kachukue yale magoli na zile point za historia ziwaongezee kwenye msimamo wa ligi kuu.
 
Back
Top Bottom